KUWAONA STARS WAKIMENYANA NA BURUNDI BUKU TATU TU
SHIRIKISHO la Soka Tanzania,(TFF) limeweka wazi viingilio vya mchezo wa kirafiki uliopo kwenye ya kalenda ya FIFA utakaoikutanisha timu ya Taifa ya Tanzania dhidi ya...
MUANGOLA WA YANGA BALAA LAKE SIO LA MCHEZOMCHEZO
KIUNGO wa Yanga, Carlos Carlinhos raia wa Angola amepewa jukumu moja kubwa ndani ya kikosi hicho kwa kupiga mipira iliyokufa ikiwa ni kona pamoja na...
BWALYA APEWA MAJUKUMU MENGINE NDANI YA SIMBA
BOSI wa benchi la ufundi la Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck, amembebesha majukumu mazito kiungo wake Mzambia Rarry Bwalya la kuhakikisha anaonyesha kiwango kwenye mechi...
MITAMBO HII YA MABAO NDANI YA SIMBA YAMPA JEURI SVEN
KASI ya ufungaji ya mastraika wawili wa Simba, Chris Mugalu na Meddie Kagere imempa kiburi kocha wa timu hiyo, Sven Vandenbroeck kwa kusema kuwa...
MARCEL KAHEZA AFICHUA KILICHO NYUMA YA MAFANIKIO
MARCEL Kaheza mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Polisi Tanzania amesema kuwa kikubwa kinachoipa ushindi timu yake ni ushirikiano ambao wanauonyesha wachezaji wakiwa...
AZAM FC YAANZA KUJIWEKA MGUU SAWA KWA AJILI YA KUMENYANA NA KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Azam FC kimeanza maandalizi ya kujiwinda na mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Azam Complex.Azam...
KMKM WATIA TIMU DAR, KIINGILIO BUKU TANO TU
TIMU ya KMKM SC ya Zanzibar imewasili leo Septemba 30 Dar tayari kwa mchezo wa kirafiki leo dhidi ya Yanga utakaochezwa Uwanja wa Azam...
MWINYI ZAHERA: SIMBA INA KIKOSI BORA MSIMU WA 2020/21
KOCHA wa zamani wa Yanga ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Ufundi wa Gwambina, Mkongomani Mwinyi Zahera, amefunguka kuwa Simba wana kikosi imara kwa...
KUPOTEZA MBELE YA SPURS, LAMPARD HATA HAELEWI
FRANK Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea amesema kuwa kupoteza kwake mbele ya Tottenham Hotspurs kumemvuruga kwa kuwa walianza kushinda ndani ya dakika 45 za...
PRINCE DUBE WA AZAM FC ALA SAHANI MOJA NA MEDDIE KAGERE WA SIMBA
BAADA ya Prince Dube kuifungia Azam FC bao la ushindi dhidi ya Tanzania Prisons ni wazi nyota huyo anakula sahani moja na washambuliaji kama...