KATI YA MORRISON, TUNOMBE,KISINDA,SARPONG, HUYU HAPA AMEWAPOTEZA WOTE
BERNARD Morrison, kiungo mpya wa Simba ambaye amesajiliwa kwa kandarasi ya miaka miwili rekodi zinaonyesha kuwa amewafunika nyota wote waliosajiliwa ndani ya Yanga ambao...
KLOPP HANA PRESHA NA USAJILI ,KUFYEKA NYOTA 10
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa bado ana muda wa kufanya usajili hivyo kwa sasa hana presha.Liverpool ni mabingwa watetezi wa Ligi...
NYOTA HAWA WATANO SIMBA KUIKOSA IHEFU FC LEO
LEO Septemba 6 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza rasmi ambapo timu 12 zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu.Mabingwa watetezi Simba nao pia watakuwa na...
LAMPARD CHANZO CHA KAI HAVERTZ KUSAINI CHELSEA
KAI Havertz, kiungo mpya ndani ya Klabu ya Chelsea amesema kuwa ushawishi wa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Frank Lampard ni sababu ya yeye...
HAWA HAPA WAWILI WA YANGA HATIHATI KUIKOSA TANZANIA PRISONS LEO
NYOTA wawili wa kikosi cha kwanza cha Yanga leo kuna hatihati ya kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya...
JEMBE JIPYA SIMBA HATMA YAKE MIKONONI MWA SVEN
IBRAHIM Ame, beki mpya ndani ya kikosi cha Simba hatma yake ya kuwavaa Ihefu leo ipo mikononi mwa Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck kwa kuwa...
HIZI HAPA 12 LEO KUANZA KUSAKA POINTI TATU NDANI YA LIGI KUU BARA
LEO Septemba 6 mitambo ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inawashwa rasmi ambapo timu 12 zitakuwa kwenye viwanja vitano kusaka pointi tatu muhimu na...
YANGA WATUMA UJUMBE HUU KWA SIMBA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hesabu zao kubwa kwa msimu mpya wa 2020/21 ni kuweza kutwaa kombe la Ligi Kuu Bara ambalo lipo mkononi...
ISHU YA KUANZA KIKOSI CHA KWANZA KWA NYOTA WA SIMBA IPO HIVI
SVEN Vandenbroeck raia wa Ubelgiji ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba, amewapa mchongo wachezaji wake wapya, Bernard Morrison na Larry Bwalya kwa kusema wana...
MSERBIA WA YANGA APEWA MAJUKUMU MAZITO
KOCHA Mkuu mpya wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amepewa masharti makubwa kwenye mkataba ambayo anatakiwa kuyafanya msimu ujao unaoanza leo Septemba 6. Kocha huyo alitua...