BOSI YANGA AZUNGUMZIA ISHU YA CHAMA WA SIMBA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauwezi kuzungumzia ishu ya kuitaka saini ya nyota namba moja ndani ya Simba, Clatous Chama.Chama amekuwa akitajwa...
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MTIBWA SUGAR, UWANJA WA JAMHURI
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo Septemba 27 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri, Morogoro
AZAM FC YARUDISHA USHINDI WAO KWA MASHABIKI
OFISA Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa ushindi ambao wameupata jana umetokana na juhudi za wachezaji kujituma ndani ya uwanja pamoja na...
GAKUMBA:KAGERE ATAWAKERA KWELIKWELI
MENEJA wa Meddie Kagere, Patrick Gakumba, amesema kama Kocha wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck atampa nafasi mshambuliaji wake huyo basi ataendelea kuwakera wapinzani kwenye...
RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA HII HAPA
LEO Septemba 27 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti namna hii:-Ruvu Shooting v Biashara United Uwanja wa Uhuru.Mtibwa Sugar v...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili.
NYOTA HAWA WAWILI ‘WAMPASUA KICHWA’ KOCHA YANGA
IMEFAHAMIKA kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mserbia Zlatko Krmpotic bado hajachagua nahodha wa kikosi chake ambacho leo kitajitupa kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro...
OBREY CHIRWA ATOA LA MOYONI BAADA YA KUITWA TIMU YA TAIFA
NYOTA wa kikosi cha Azam FC, Obrey Chirwa amesema kuwa ataendelea kujituma ili aendelee kuitwa kwenye timu ya Taifa ya Zambia, 'Chipolopolo' kwa mara...
VPL:SIMBA 1-0 GWAMBINA
Imeongezwa dakika mojaDakika ya 45 mchezaji wa Gwambina anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 44 Luis anachezewa faulo hakizai matundaDakika ya 40 Goal KagereDakika ya37...
AZAM FC YAENDELEZA UBABE UGENINI, YAJIPIGIA 1-0 TANZANIA PRISONS
AZAM FC inayonolewa na Kocha Mkuu Aristica Cioaba leo Septemba 26 imeibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa...