HABARI ZA SIMBA LEO

WAWILI WAONGEZWA…KAMATI YA USAJILI SIMBA

0
NI MWENDO wa Kimya kimya tu baadae kila kitu kitakuwa sawa, Simba naona wamechagua kufanya mambo yao kwa siri, hususani mabadiliko ndani ya Uongozi...
Habari za Simba leo

BILA KIFICHO…AHMED ALLY ATAJA WALIOITIBULIA SIMBA MSIMU HUU…

0
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amebainisha maeneo ambayo timu yao ilikosea na kusababisha kushindwa kufanya vizuri kwenye michuano walioshiriki...
steve komphela Simba

STEVE KOMPHELA WA MAMELODI…FILE LAKE LINAJADILIWA SIMBA

0
UNAIKUMBUKA Mamelodi Sundowns ya Pitso Mosimane? huenda huko mbali, je hii   Mamelodi ya Rulani Mokwena? kwenye ubora ule na kiwango kile nyuma yake alikuwepo...
HABARI ZA SIMBA LEO- Mgunda Anaondoka

SIMBA YAFUATA KOCHA SA…HATMA YA MGUNDA IKO HIVI.

0
INAELEZWA kwamba Uongozi wa Simba SC utaachana na Kaimu Kocha Mkuu wa klabu hiyo Juma Mgunda ambaye amedumu na kikosi hicho kwa miezi kadhaa. Mgunda...
Meridianbet

KUPIGA PESA NA MERIDIANBET NI RAHISI SANA…ODDS ZA UBINGWA NI HIZI HAPA…

0
Je unajua kuwa ukiwa na meridianbet leo hii una nafasi ya kujiweka kwenye nafasi ya kuwa Milionea?. Hapa utapata machaguo zaidi ya 1000, ODDS...
Habari za Simba leo, Barbara Gonzalez

BREAKING NEWS: BARBARA ARUDI SIMBA…MO HATAKI MASIHARA

0
HABARI za Simba Leo ni za moto, za hivi punde tulizozinyaka ni kwamba aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Barbara Gonzalez amekubali kurudi...
Habari za simba na Yanga Leo

YANGA SC, AZAM FC KWA KANUNI HII CAF MUWE MAKINI…SIMBA NO STRESS

0
WAWAKILISHI wa Tanzania kwa upande wa mashindano ya Kimataifa, Yanga SC na Azam FC kwenye Klabu Bingwa Afrika, na Simba SC na Coastal Union...
Habari za Simba leo

UKIMYA WA SIMBA…WAMUIBUA AHMED ALLY…ASEMA JAMBO

0
HUENDA hata wewe umekuwa ukipita kwenye akaunti mbalimbali za klabu ya Simba  kujaribu kuchungula taarifa mpya, lakini huoni chochote! ukimya huo umemfanya Afisa Habari...
Simba na Yanga

SIMBA NA YANGA KUPIGWA MARA 3…MSIMU WA 2024/25

0
HUENDA SIMBA NA YANGA zikikakutana zaidi ya mara 3 kwa msimu ujao wa mashindano, 2023/24, lakini kwa kufuata Kanuni za Ligi timu tutashuhudia Dabi...
Habari za Simba Leo

SIMBA WAKUBALI KUPITIA MAGUMU…WANAJIPANGA UPYA

0
HABARI ZA SIMBA LEO, Uongozi wa klabu hiyo imesikitishwa na kupoteza maombe muhimu msimu huuu, na kushindwa kufikia malengo waliyojiwekea kwa msimu wa 2023/24 Simba...