KMC WATAJA KILICHO NYUMA YA USHINDI WAO

0
 UONGOZI wa KMC umesema kuwa kikubwa kinachowabeba ndani ya Ligi Kuu Bara ni wachezaji kujituma na kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja.Ushindi wa jana...

LIVERPOOL IPO KWENYE HESABU ZA KUPATA SAINI YA MBAPPE

0
IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Liverpool ipo kwenye hesabu za kumpata mshambuliaji wa Klabu ya Paris Saint-German,(PSG) Kylian Mbappe kwa ajili ya kuibukia ndani ya...

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA MTIBWA SUGAR

0
 BEKI kisiki wa Yanga, Lamine Moro amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na maandalizi ambayo...

SIMBA KUSHUSHA MUZIKI WA KAZI MBELE YA AFRICAN LYON LEO

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa leo utashusha kikosi kizima cha kazi kwa ajili ya kushinda na kutoa burudani mbele ya African Lyon kwenye mchezo...

MANCHESTER CITY YAIBAMIZA WOLVES NA KUSEPA NA POINTI TATU

0
 KELVIN De Bruyne nyota wa Manchester City aligungua pazia la ushindi wakati timu yake ikishinda mabao 3-1 mbele ya Wolves kwenye mchezo wa Ligi...

GWAMBINA FC: HATUJAPOTEZA MATUMAINI, TUTAFANYA VIZURI MBELE YA SIMBA

0
 JACOB Masawe, nahodha wa Gwambina FC amesema kuwa kupoteza mchezo wao mbele ya Ruvu Shooting haijawatoa kwenye ramani wataendelea kupambana kwa ajili ya mechi...

AZAM FC YATAKA KUENDELEZA REKODI YAKE

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa hesabu zao kubwa ni kuendeleza rekodi zao ndani ya Ligi Kuu Bara ili kufikia malengo ambayo wamejiwekea.Azam FC...

HIKI NDICHO ANACHOKITAKA KOCHA MKUU WA YANGA

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic amewashusha presha mashabiki wa timu yake akiwaambia mabao yatakuja, kwani kilichomuhimu kwake kwanza ni kuvuna alama tatu muhimu...

WALIOIMALIZA MBEYA CITY JANA LEO WAWEKWA KANDO NDANI YA AZAM FC

0
 KOCHA Msaidizi wa Azam FC Vivier Bahati amesema kuwa wachezaji wake walioanza kikosi cha kwanza jana mbele ya Mbeya City leo walipata muda wa...

SIMBA KUSHUKA UWANJANI KESHO KUMENYANA NA AFRICAN LYON

0
 KIKOSI cha Simba kesho, Septemba 21 kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya African Lyon inayoshiriki Ligi daraja la Kwanza kwa ajili ya kuwapa...