MBAO WATAJA MBINU YA KUBAKI KWENYE LIGI MSIMU UJAO

0
KOCHA mkuu wa Mbao FC, Abdulmutik Hajji amesema wamejipanga kuhakikisha wanashinda mechi zao zote zilizobaki ili kujinusuru kushuka daraja msimu ujao.Hajji amesema kuwa mbinu...

KOCHA WA YANGA KUTUA NA MABEGI YAKE KESHO

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa anatarajia kuwasili nchini Juni 10 ambayo ni Jumatano baada ya kutumiwa tiketi ya ndege na uongozi...

JUMA ABDUL AYEYUSHA LAKI NANE KWA MICHORO MWILINI

0
NAHODHA msaidizi wa kikosi cha Yanga, Juma Abdul Mnyamani amefunguka kuhusu michoro ya mwilini ‘Tatoo’ aliyo nayo kwa kusema kuwa michoro hiyo imemgharimu kiasi...

BREAKING: SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU WACHEZAJI WAKE KUSEPA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa hakuna mchezaji yoyote anayeweza kuondoka kwa sasa ndani ya Simba na kuibukia Klabu yoyote kwa sasa iwapo atakuwa anahitajika...

FA KUFUNGUA DIRISHA LA USAJILI AGOSTI

0
CHAMA cha Soka England (FA) kipo kwenye mchakato wa kufungua dirisha la usajili itakapofika Agosti mpaka kufika tamati Oktoba.Mpango mkubwa wa kufungua dirisha la...

KANTE NA JORGINHO WAPO KWENYE MPANGO WA KUUZWA

0
FRANK Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea inaelezwa kuwa yupo kwenye mpango wa kumuuza N'Golo Kante na Jorginho.Inaelezwa kuwa mpango wa Chelsea ni kupata saini...

MECHI YA AZAM FC NA KMC HATIHATI KUYEYUKA, SIMBA, YANGA,KIKAANGONI LEO

0
MECHI ya kirafiki iliyopangwa kuchezwa kesho kati ya Azam FC na KMC huenda ikayeyuka jumla baada ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kuzuia mechi...

CHAMA NI MWENDO WA MATIZI TU, AKOSA MECHI MBILI BONGO

0
KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama jana alianza mazoezi yake rasmi kujiweka fiti kwa ajili ya kuweza kuungana na wenzake kwenye kikosi.Chama alianza kufanya...

JEMBE LA KAZI LIMERUDI MAZIMA YANGA

0
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amerejea mazoezini baada ya kukaa nje kwa muda akiuguza majeraha yake aliyoyapata wakati wa mazoezi ya hivi karibuni.Yanga ilianza...