WACHEZAJI VIBONGE NDANI YA YANGA WAMCHEFUA MKWASA ..

0
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa, amesema kuwa katika mazoezi ya siku tano ambayo wachezaji wamefanya, amebaini kuna nyota wao watano walioongezeka uzito jambo...

SALIBOKO MTUPIAJI NAMBA MBILI WA LIPULI ATAJA ALIPOJICHIMBIA

0
DARUESH Saliboko, mshambuliaji namba mbili wa Klabu ya Lipuli amesema kuwa ataripoti kambini hivi karibuni kwa kuwa kwa sasa kuna mambo anayaweka sawa.Lipuli iliripoti...

AZAM FC YAPANDISHA MAJEMBE SITA YA KAZI

0
BENCHI la ufundi la Azam FC lililo chini ya Kocha Mkuu Aristica Cioaba limepandisha majembe sita ya kazi kutoka timu ya vijana ya umri...

KESHO NI YANGA V KMC UHURU

0
KESHO Yanga itakuwa na kibarua kingine cha kumenyana na KMC kwenye mchezo wa kirafiki utakaochezwa Uwanja wa Uhuru.Mchezo huo utarushwa moja kwa moja na...

KIPA KMC NA SIMBA KIMEELEWEKA….KOCHA KMC AANIKA KILA KITU

0
LICHA ya Simba kuwa kimya katika harakati za usajili, tetesi zilipo ni kwamba tayari wamemalizana na kipa wa KMC, Jonathan Nahimana.Nahimana alianza kuhusishwa na...

SIMBA WAICHOKONOA YANGA KIMTINDO HIVI

0
BAADA ya Uogozi wa Yanga kusema kuwa wachezaji wao watatu wameongezeka uzito, Ofisa Habari wa Simba Haji Manara kama amewajibu kimtindo kwa kuwataja wachezaji...

YANGA WAINYOOSHA MABAO 2-0 DAR CITY

0
KLABU ya Yanga leo imeshinda mabao 2-0 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Dar City uliochezwa Uwanja wa Chuo cha Sheria.Mchezo wa kwanza Yanga...

NDANDA FC INAHITAJI MILIONI 48 IBAKI NDANI YA LIGI

0
KLABU ya Ndanda FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Meja mstaafu Abdul Mingange inahitaji kiasi cha shilingi milioni 48 kutoka kwa wadau ili kiweze...

SABABU YA AZAM FC KUCHEZA TRANSIT CAMP YAFAFANULIWA KITAALAMU NA CIOABA

0
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa uongozi ulipendekeza kucheza na timu inayoshiriki Ligi Kuu Bara ila ilishindikana kutokana na kila timu...

KIUNGO WA AZAM FC CABAYE AUAGA UKAPERA

0
KIUNGO wa timu ya Azam FC, Abdallah Masoud, 'Cabaye' ameuaga ukapela kwa kuvuta jiko lake rasmi jana usiku.Kiungo huyo alifunga ndo na Bi. Fatma...