SITA WAJISHINDIA MKWANJA JISHINDIE GARI NA CHAMPIONI LEO
MASHABIKI wa Yanga wametisha baada ya kukomba shilingi laki mbili kutoka katika droo ya tatu ya Jishindie Gari na Championi ambayo imefanyika leo Ijumaa...
MANCHESTER UNITED NA DORTUMUND WAMGOMBANIA JUDE
BIRMINGHAM ipo kwenye hatihati ya kumkosa msimu ujao kiungo wao Jude Bellingham kutokana na kuwekwa kwenye rada za Manchester United na Borrusssia Dortumund.Kiungo huyo...
AZAM FC KUKIWASHA KESHO
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kesho utakuwa na kazi ya kufanya mbele ya Klabu ya Transit Camp kujiweka sawa. Mchezo huo wa kirafiki ni...
YANGA YAOMBA SAPOTI YA MASHABIKI
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa kikubwa ambacho kinahitajika kwa sasa kutoka kwa mashabiki ni sapoti yao mwanzo mwisho.Tshishimbi amesema kuwa ni jambo...
SVEN: WACHEZAJI WAPO VIZURI, BADO TUNAENDELEA KUWAREJESHA KWENYE UBORA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa wanaendelea kuwarejesha wachezaji wao kwenye utimamu wa mwili kabla ya kuanza kuwafanyisha mazoezi magumu.Simba ambao ni mabingwa...
NDANDA KESHO KUTESTI MITAMBO NA NAMUNGO
KOCHA wa timu ya Ndanda FC, Meja mstaafu Abdul Mingange amesema kuwa kikosi chake kimeanza mazoezi vizuri jambo ambalo anaamini kwamba kitafanya vizuri kwenye...
MTIBWA SUGAR: TUPO TAYARI KUREJEA KWENYE USHINDANI
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara ili kufikia malengo ambayo...
NAMUNGO FC YAGOMEA KUSAJILI, NGUVU ZAKE ZAWEKEZWA KWENYE LIGI
KOCHA Mkuu wa Namungo FC, Hitimana Thiery, amesema kuwa hesabu zake kubwa kwa sasa ni kupata matokeo chanya kwenye mechi zake zilizobaki za Ligi...
PAMBA SC WAISHUKURU TPLB NA TFF KWA MKWANJA WA MILIONI MOJA, WAJA NA OMBI...
UONGOZI wa Klabu ya Pamba SC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza umeishukuru mamlaka ya Bodi ya Ligi Tanzania Bara,(TPLB) pamoja na Shirikisho la Soka...
ISHU YA TIKETI YA KOCHA EYMAEL WA YANGA IMEFIKIA HAPA
MKURUGENZI wa Uwekezaji GSM, Injinia Hersi Said amesema kuwa sababu kubwa ya Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael kuchelewa kurejea Bongo ni kukosa nafasi...