KOCHA ATAJA KINACHOWAPONZA WACHEZAJI WA BONGO KUSHINDWA KUTUSUA

0
PATRICK Mwangata, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Mtibwa Sugar amewaasa wachezaji nchini kumuiga nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta katika suala la nidhamu na...

MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la Championi Ijumaa 

HAWA HAPA WAKALI WATATU WAMEMTUNGUA MANULA NJE YA 18

0
AISHI Manula amekaa Langoni Kwenye mechi 21 za Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 1,890.Ametunguliwa mabao 10 akiwa na wastani wa kutunguliwa bao moja...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Ijumaa, nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako 

BREAKING:CHIRWA AMALIZANA NA AZAM FC, DILI LAKE KUTUA YANGA LABUMA

0
OBREY Chirwa mshambuliaji wa Azam FC, ameongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kusalia ndani ya timu hiyo.Mkataba wa awali wa nyota huyo alioongeza...

SABABU ILIYOMFANYA CHAMA AKATUA SIMBA HII HAPA

0
CLATOUS Chama nyota anayekipiga ndani ya Simba amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya akubali kujiunga na klabu hiyo ni malengo ambayo aliyaona kwa mabingwa hao...

SASA YANGA WASHINDWE WENYEWE KWA MTAMBO HUU WA MABAO

0
SASA Yanga washindwe wenyewe kwa Obrey Chirwa, unaweza kusema kuwa ameshaingiza mguu mmoja! baada ya uongozi wa timu ya soka ya Azam FC, kuanza...

SAMATTA APATA DILI JINGINE, VILLA WAKISHUKA TU ANAIBUKIA HUKU

0
BABA mzazi wa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, mzee Ally Samatta amefunguka kuwa anaamini mtoto wake ataendelea kucheza Ligi Kuu England hata...