TAREHE YA JEMBE JIPYA KUTUA SIMBA YATAJWA,NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Ijumaa lipo mtaani jipatie nakala yako 

COUNTINHO KUBAKI BAYERN MUNICH MSIMU UJAO UWEZEKANO NI MDOGO KWELI

0
PHILIPPE Coutinho, kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Bayern Munich kwa mkopo akitokea Barcelona anaweza kusepa ndani ya kikosi hicho msimu ujao.Nyota huyo hajawa...

ARSENAL WASHAURIWA KUMUUZA JUMLA AUBAMEYANG

0
JEREMIE Aliadiere, mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Arsenal amesema kuwa mshambuliaji Pierre Emerick Aubameyang inabidi auzwe mazima.Nyota huyo amesema Aubameyang amechangia kumuweka Kocha...

KAHATA MAMBO BADO NCHINI KENYA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa bado ni ngumu kwa kiungo wao wa Kenya Francis Kahata kuibuka Bongo kwa sasa kutokana na mipaka ya huko...

AMEBAKI SHIKALO TU KUREJEA YANGA KWA SASA

0
WACHEZAJI wote wa Klabu ya Yanga tayari wameripoti kambini na kuanza kufanya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara.Ofisa...

SABABU YA MEDDIE KAGERE KUWEKWA KWENYE RADA ZA TIMU YA HISPANIA HII HAPA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Simba alitajwa kuibukia ndani ya Klabu ya Levante ya Hispania.Inaelezwa kuwa sababu kubwa ya nyota...

SASA LIGI KUU ENGLAND KUMALIZIKA MWEZI AGOSTI

0
IMEELEZWA kuwa, makocha wote wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu England wameambiwa kwamba wanapaswa kumaliza mechi zao zilizobaki ndani ya wiki sita ili kumaliza shughuli...

MASUALA YA MICHEZO YANARUDI NI JAMBO JEMA, TUSISAHAU CORONA BADO IPO

0
IMESHAKUWA wazi kwamba masuala ya michezo yanarejea Juni Mosi baada ya Serikali kuruhusu burudani kuendelea baada ya kusimama kwa muda mrefu.Machi 17 Serikali ilisimamisha...

SVEN ACHEKELEA KUREJEA KWA SHEVA

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ana imani ya kumtumia kiungo wake mshambuliaji Miraj Athuman,'Sheva' kwenye mechi zilizobaki kutokana na kurejea kwenye...

MTIBWA SUGAR: TUPO TAYARI KWA AJILI YA KUENDELEA KUPAMBANA

0
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya ushindani kutokana na wachezaji wao kuwa na mwendelezo wa mazoezi...