SIMBA QUEENS WAIKIMBIZA JKT QUEENS MAZIMA

0
KABLA ya shughuli za michezo kusimamishwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona, kwa upande wa Ligi Kuu ya Wanawake Klabu ya Simba Queens...

LICHA YA KUWA NI NAHODHA HUYU NI MTAMBO WA KUTUPIA PIA NDANI YA KLABU...

0
KASSIM Shabani Haruna ni nahodha wa Sahare All Star FC inayoshiriki Ligi Daraa la Kwanza ametupia mabao manne na kutoa pasi nne akiwa amecheza mechi...

MO AANZA KUFURU SIMBA NI NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu lipo mtaani jipatie nakala yako nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako

HIKI NDICHO WANACHOKIKOSA WANA SIMBA KWA SASA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kikubwa ambacho wanakikosi kwa sasa ni zile furaha za mashabiki pamoja na uhondo wa mechi za Ligi Kuu Bara...

HUYU NAYE KICHWANI ZIMO, UWANJANI ANA BALAA ANATAJWA KUTUA YANGA

0
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli, kichwani ana Stashahada ya Ulipuaji Miamba ambayo aliamua kujiongeza baada ya kumaliza kidato cha sita na aliipata kwenye Shirika...

DODO YA ALIKIBA YAWEKA REKODI YA AJABU BONGO

0
MSANII wa Bongo Fleva, Alikiba, ameweka rekodi ya ngoma yake ya Dodo kukaa Youtube Trending kwa muda mrefu kuzidi ngoma yoyote iliyotoka mwaka huu.Hadi...

MSHAMBULIAJI HUYU AMEPIGA KITABU, UWANJANI ANATUPIA KAMA KAWAIDA

0
WAZIR Jr, mshambuliaji huyu anakipiga Mbao FC. Kichwani ana Degree ya IT ana tuzo pia ya mchezaji bora wa Mwezi Novemba ambapo aliipata baada...

KAGAME AENDELEA KUMSHIKILIA KAGERE..!!

0
SERIKALI ya Rwanda, imeongeza muda kwa wananchi wake kukaa ndani na mipaka kufungwa hadi Aprili 30, mwaka huu kutokana na janga la virusi vya...
Habari za Simba

KOCHA SIMBA AANZA NA STRAIKA HUYU

0
MSEMAJI mwenye kauli ya mwisho kwenye Benchi la Ufundi la Simba, Sven Vandenbroeck ameweka wazi kwamba usajili wa kwanza ambao ataufanya kwenye kikosi chake...

MTAMBO WA MABAO KUTUA YANGA..MAMBO YOTE YAPO HIVI..!!!

0
RELIANTS Lusajo, mtambo wa mabao ndani ya Yanga iwapo dili lake la kutua ndani ya kikosi cha Yanga litajibu, basi atashuka na nyota pacha...