NYOTA HAWA WAZAWA WATANO MUDA WOWTE MAMBO FRESH YANGA, RIPOTI INAELEZA

0
RIPOTI ya Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael iliyotoa mezani inaelezwa kuwa anahitaji nyota wawili wazawa ambao watajiunga na Yanga msimu ujao ili kuongeza...

SIMBA YATAJA SABABU ZA KUILINDA SAINI YA CHAMA, ISHU IPO TFF KWA SASA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa miongoni mwa sababu kubwa zinazowafanya wailinde saini ya nyota wao Clatous Chama ni pamoja na kuthamini mchango wake alioufanya...

UKIACHANA NA CHAMA, HUYU HAPA MWINGINE KUCHOMOLEWA SIMBA

0
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga hesabu zao ni kuibomoa Simba na kuchokomoka na nyota mmoja ambaye amekuwa kwenye ubora wake licha ya kutokuwa na...
Habari za Michezo leo

SIMON MSUVA ATAMANI KURUDI BONGO ILA AMEKWAMIA HAPA

0
SIMON Msuva nyota wa Timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga El Jadid ya nchini Morocco amesema kuwa kwa sasa anatamani kurudi nyumbani Tanzania ila...

MBELGIJI WA YANGA KULA SAHANI MOJA NA NYOTA WANNE, UONGOZI WA YANGA WATAJA MBINU...

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa amekuwa akiwafuatilia kwa ukaribu nyota wake wote huku presha yake ikiwa kwa nyota wanne ambao ni...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI LIPO MTAANI JIPATIE NAKALA YAKO...

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi lipo mtaani jipatie nakala yako kwa Jerome, nafasi ya kushinda ndinga ni yako 

AZAM FC YAJITOSA KUWANIA KIFAA CHA CONGO KINACHOTAKIWA SIMBA NA YANGA

0
UKISIKIA kununua ugomvi ndiko huku sasa. Matajiri wa soka nchini, Azam FC wamejitosa katika vita vya vigogo Simba na Yanga kuwania saini ya straika...

SIMBA YA SENZO IKO ‘NEXT LEVEL’ AISEE …WACHEZAJI KUFANYA MAZOEZI KWA VIDEO CALL

0
NI mwendo wa teknolojia tu sasa hivi, hili ndio linalofanyika kwenye taasisi mbalimbali kwa nchini kutokana na kuwepo ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi...

BAADA YA SVEN KUONYESHA KUMUHITAJI..KIUNGO NAMUNGO AMEFUNGUKA HAYA..!!

0
KOCHA wa Simba, Mbelgiji Sven, hakuficha hisia zake namna anavyomkubali kiungo wa Namungo FC, Lucas Kikoti ‘Mtakatifu Kikoti’, sasa mchezaji mwenyewe amesisitiza, ikitokea Wekundu...

ISHU YA YANGA NA SIMBA IMENOGA,KESHO NDANI YA SPOTIXTRA

0
KESHO ndani ya SPOTIXTRA Alhamisi mambo yatakuwa namna hii, nafasi ya kushinda Gari ni yako