SIMBA KWENYE LIGI KUU BARA WAMEKUMBUKA HIKI HAPA
PASCAL Wawa, beki kisiki ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa miongoni mwa vitu ambavyo anavikumbuka ni mpira ule wa ushindani.Ligi Kuu...
MASHINE HIZI TANO ZAWEKWA KWENYE RADA KUMALIZA TATIZO LA UBUTU WA USHAMBULIAJI NDANI YA...
MABOSI wa Yanga mkononi wana majina zaidi ya matano ya washambuliaji ambao wanawahitaji kwa msimu ujao kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho.Miongoni...
AZAM FC YAHAMIA SASA KWENYE JUKWAA
UONGOZI wa Klabu ya Azam FC umesema kuwa baada ya ukarabati wa sehemu ya kuchezea (pitch) kukamilika vizuri, sasa Azam FC imeanza rasmi kukarabati...
IGHALO HATA HAELEWI HATMA YAKE INAKUAJEKUAJE YAANI
ODION Ighalo, mshambuliaji wa Manchester United ambaye yupo hapo kwa mkopo hajui hatma yake itakuaje msimu ujao.Mkataba wake ndani ya United unameguka Mei 31...
LAZIMA TUJIFUNZE, MAANA SIKU TATU ZA BUNDESLIGA ZIMETUPA SIRI KIBAO
Na Saleh AllyUNAWEZA kusema kama ni majibu ya jambo fulani wakati mwingine yanahitaji muda. Lakini siku mbili za Ligi Kuu ya Ujerumani au Bundesliga...
TUWE MAKINI, TAKUKURU HAWAKUITAJA TFF BILIONI MOJA ZA RAIS MAGUFULI…
NA SALEH ALLYNIMESHANGAZWA sana kuhusiana na wadau wengi wa mchezo wa soka kuonekana kufurahia baada kuwepo kwa taarifa ya ufujaji wa fedha na Shirikisho...
MCHAGA WA KILUVYA ALIYESHINDA JACKPOT YA SportPesa.. AKABIDHIWA UBILIONEA WAKE LEO….AFUNGUKA ALICHOFANYA…
Mshindi wa Jackpot ya SportPesa Florian VAlerian Massawe akikabidhiwa rasmi mfano wa hundi ya Tsh. 1,255,316,060 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi SportPesa Tarimba...
NYOTA HAWA TISA NDANI YA SIMBA MSIMU UKIMEGUKA TU WANAWEZA KUSEPA BURE KABISA
SIMBA ipo nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara na pointi zake 71 kibindoni kuna mastaa ambao maisha yao yanafika ukingoni mwishoni...
CHELSEA KUPITISHA PANGA LA KIBABE
CHELSEA iliyo chini ya Kocha Mkuu Frank Lampard inapiga hesabu kupitisha panga la moto kwa wachezaji wake ili kujenga kikosi kipya msimu ujao.Licha ya...
SIMBA YAINGILIA DILI LA MTUPIAJI MGHANA ANAYEWINDWA NA YANGA
INAELEZWA kuwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba wameingia kwenye anga za Yanga kuwania saini ya mshambuliaji Michael Sarpong ambaye hivi karibuni aliachana na...