‘BARTHEZ’ – KWA SIMBA HII KILA MCHEZAJI ANAKUFUNGA

0
KIPA wa zamani wa Simba, Ally Mustapha ‘Barthez’ amebainisha kuwa hata nafasi ya beki wa kati anacheza freshi tu lakini akaonyesha Simba hii ni...

YANGA YA GSM YATENGA MILIONI 80 KUMNG’OA ‘HD’ MSIMBAZI..MPANGO MZIMA UKO HIVI..!!

0
YANGA wamekutana ijini Dar es Salaam na kukubaliana kuachana na mastaa wa Simba kwenye usajili ujao, lakini siyo Hassan Dilunga ambaye ni kipenzi cha...

SVEN AMTEGA SHEVA MSIMBAZI

0
KOCHA wa Simba, Sven Vanderbroeck amesisitiza kuimarika kwa mshambuliaji wake, Miraji Athuman ‘Sheva’, kutaifanya timu yake itishe zaidi kwenye eneo la mbele kwa vile...

YANGA YA GSM YAJITOSA UPYA KWA MAKAMBO WA HOROYA

0
YANGA wameamua kujilipua tena kwa straika wao wa zamani, Heritier Makambo anayekipiga AC Horoya ya Guinea.Awali, Horoya waligoma kumuachia Mkongomani huyo kwa madai kwamba,...

NDANDA YAGOMA KUSHUKA DARAJA

0
VITALIS Mayanga, mshambuliaji wa Ndanda FC amesema kuwa ni ngumu kwa timu yao kushuka daraja kutokana na hesabu ambazo wanazipiga kwa sasa.Mayanga amejiunga na...

MCHEKA NA NYAVU ANAYEWINDWA NA YANGA ATAJA KINACHOIMALIZA TIMU YAKE YA ZAMANI

0
MTUPIA mabao namba moja ndani ya Namungo ambaye aliwahi kucheza pia ndani ya Yanga amesema kuwa kilichokuwa kinaiponza Yanga kushindwa kutupia mabao mengi ni...

CHELSEA YAWEKA NGUMU KWA KANTE KUIBUKIA KWA ZIDANE

0
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Chelsea imesitisha mpango wa kumuuza nyota wao N'Golo Kante msimu ujao.Real Madrid iliyo chini ya Kocha Mkuu Zinedine Zidane inatajwa...

KISA YANGA, SIMBA YAMKOMALIA CHAMA, YATAJA MUDA WA MKATABA WAKE

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kiungo wao Clatous Chama raia wa Zambia mkataba wake bado unaishi mpaka pale Juni 2021.Chama amekuwa akihusishwa kujiunga na...

BANDA:TUNAPIGA MATIZI KAMA KAWAIDA HUKU

0
ABDI Banda, beki wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars anayekipiga Highlands Park FC ya Afrika Kusini amesema kuwa bado wanapiga matizi kama kawaida...

GUARDIOLA ANAWEZA KUSEPA NDANI YA MANCHESTER CITY, SABABU YATAJWA

0
EMANUEL Petit, mkongwe wa zamani wa timu ya Arsenal na timu ya Taifa ya Ufaransa amesema kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Pep Guardiola...