HILO DAU ANALOTAKA MRITHI WA YONDANI NI NOMA NI NDANI YA GAZETI LA SPOTIXTRA...

0
MUONEKANO wa ukurasa wambele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili usipange kukosa nakala yako jero tu 

BUNDESLIGA INAREJEA, MACHO YATAONA, MASIKIO YATASIKIA….

0
Na Mwandishi WetuBAADA ya Serikali ya Ujerumani kusema timu zote za Bundesliga kukaa karantini kabla ya kuanza kwa ligi tena, sasa ni uhakika kuwa...

NIYONZIMA AWAVUTA WAKONGWE WAWILI KASEJA NA KADO

0
 HARUNA Niyonzima kiungo wa Yanga amelazimika kuwavuta kwenye mazoezi ya pamoja wakongwe wenzake, Juma Kaseja na Shabani Kado, ikiwa ni mkakati mahususi wa kujiandaa...

DILI LA HUMUD KWENDA YANGA LIMEFIKIA HAPA

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa bado una mpango na nyota wao Abdulahman Humud ambaye anatajwa kuwaniwa na Yanga.Humud ambaye amejiunga na Klabu ya...

LEWANDOWSKI ALITUPIA MABAO 16 KWENYE MECHI 11 MFULULIZO BONGE MOJA YA REKODI

0
ROBERT Lewandowski, anayekipiga ndani ya Bayern Munich ni miongoni mwa washambuliaji mahiri duniani kwa sasa kwa kujenga ushkaji mkubwa na nyavu.Nyota huyo amevunja rekodi...

YANGA WAOMBWA KUENDELEA KUPATA NAKALA YA JARIDA LAO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa mashabiki wanapaswa waendelee kujipatia nakala ya jarida la timu yao ili kujifunza mengi zaidi.Hivi karibuni Yanga ilizindua jarida lao...

KUMBE SANCHO NI BALAA, TIMU KIBAO ZINAMUWINDA IKIWA NI PAMOJA NA MANCHESTER CITY

0
JADON Sancho, amezidi kuwa bora ndani ya Klabu yake ya Borussia Dortumund jambo ambalo linaifanya Manchester United kuzidi kupasua kichwa kuinasa saini yake.Sancho ametupia...

MBRAZILI ANAYETAKA KUCHEZA SIMBA AZIKUMBUKA CHIPSI BONGO

0
ANDREY Coutinho, kiungo wa zamani wa Klabu ya Yanga amesema kuwa miongoni mwa vitu anavyovikumbuka kwenye ardhi ya Bongo ni pamoja na chakula alichokuwa...
Habari za Yanga SC

BANDA AFUNGUKIA ISHU YA LIGI YA AFRIKA KUSINI KUFUTWA

0
ABDI Banda beki kutoka Bongo anayekipiga ndani ya Highlands Park inayoshiriki Ligi Kuu nchini Afrika Kusini amesema kuwa kama ligi yao itafutwa fresh tu...

ARGUERO NI CHUMA CHA MABAO NDANI YA CITY

0
SERGIO Arguero, mshambuliaji wa Manchester City ana balaa ndani ya uwanja ambapo jumla akiwa ametumia dakika 27,033 amefunga mabao 254.Mabao hayo ni kwenye michuano...