HII HAPA MITAMBO YA MABAO NDANI YA YANGA

0
Maproo wa kazi ndani ya Yanga kwenye mabao 31 wao wamehusika katika mabao tisa.Kiungo Haruna Niyonzima amepachika bao moja mbele ya Singida United wakati...

ZANA COULIBARY ATAKA KUREJEA BONGO

0
INAELEZWA kuwa Zana Coulibary nyota wa zamani wa Simba amevunja mkataba na mabosi wake AS Vita ya Congo.Zana alikipiga ndani ya Simba il iliyotinga...

HIZI HAPA MECHI ZILIKUWA NA REKODI ZA MABAO MENGI KWA TIMU MOJA MSIMU HUU...

0
Rekodi ya mechi ambazo timu moja waliokota mabao zaidi ya matatu nyavuni:- Alliance 4-1 Mwadui, Februari 19 Uwanja wa Nyamagana Mwanza.David Rishard alitupia matatu...

CORONA YAMTIBULIA MIPANGO HASSAN DILUNGA

0
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa janga la Corona limetibua mipango mingi ambayo ilibidi iendelee.Kabla ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa Machi 17...

MBAO FC WAO NI WABISHI KINOMA, CHEKI MAFANIKIO YAO NA HESABU

0
MBAO FC wao wanajiita wabishi ni Klabu ambayo inapatikana kanda ya ziwa ikiwa chini Kocha Mkuu, Abulmutik Haji ambaye msimu wa 2018/19 alikuwa ndani...

HUYU HAPA ALIYEMBANIA KAGERE ATAJWA KUBEBA MIKOBA YA ABAROLA AZAM FC

0
DANIEL Mgore mlinda mlango wa Biashara United anatajwa kuwekwa kwenye rada za mabosi Azam FC ambao wanahitaji saini yake jumlajumla.Habari zinaeleza kuwa tayari mabosi...

YANGA YAITWA MEZANI IPEWE MTUPIAJI HUYU

0
UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa iwapo Yanga inahitaji saini ya nyota wao Bigirimana Blaise ni suala la kuzungumza kwani inawezekana.Imekuwa ikielezwa kuwa Yanga...

KUMBE UNAI HAKUMTAKA PEPE

0
UNAI Emery, Kocha Mkuu wa zamani wa Klabu ya Arsenal amesema kuwa hakuwa anahitaji saini ya kinda Nicolas Pepe isipokuwa alikuwa anaitaka saini ya...

BAKARI MWAMNYETO: MAMBO YAKIWA FRESH, NINASAINI YANGA

0
NAHODHA na beki wa kati wa Coastal Union ya Tanga, Bakari Nondo Mwamnyeto amesema kuwa kama mazungumzo yakienda vizuri, basi huenda akatua kukipiga Yanga...

SIMBA KWENYE LIGI KUU BARA WAMEKUMBUKA HIKI HAPA

0
PASCAL Wawa, beki kisiki ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa miongoni mwa vitu ambavyo anavikumbuka ni mpira ule wa ushindani.Ligi Kuu...