BEKI RASTA ATEMBEA NA MKATABA WA YANGA
BEKI wa pembeni wa Yanga, Jaffary Mohammed, amesema kuwa anasubiri kusaini mkataba mpya kuendelea kubakia kwenye klabu yake hiyo. Beki huyo ni kati ya wachezaji...
KOCHA WA YANGA AKWAMA UBELGIJI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael raia wa Ubelgiji, amefunguka kuwa kwa sasa hawezi kurejea Dar kwa sababu bado uwanja wa ndege wa nchi...
SERIKALI YAITAKA TFF KUPIGA HODI FIFA KUHUSU LIGI
WAZIRI wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amesema kuwa kuna umuhimu wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) kufanya mazungumzo na Fifa ili kujua...
ARUSHA FC YAIANGUKIA TFF NA WADAU, HALI NI TETE
UONGOZI wa Arusha FC, inayoshiriki Ligi Dajaja la Kwanza umeliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuzitazama timu zote zinazoshiriki Ligi Daraja la Kwanza pamoja...
MTIBWA WAKAZA, WAGOMA KURUDI KAMBINI KWA SASA
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa hauna mpango wa kurejea kambini kwa sasa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona ambavyo vimesababisha ligi kusimamishwa...
LUSAJO BANA, APATA KIGUGUMIZI KUZUNGUMZIA DILI LAKE LA YANGA
RELLIANTS Lusajo, mshambuliaji namba moja wa Klabu ya Namungo FC amesema kuwa hawezi kuzungumzia juu ya dili lake la kutua ndani ya Klabu ya...
YANGA WAMTAJA MCHEZAJI WA SIMBA KUWA NDIYE BORA NDANI YA LIGI KUU BARA
HARUNA Niyonzima, kiungo anayekipiga ndani ya Yanga amemtaja mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere kuwa ndiye mchezaji wake bora zaidi wa kigeni ambaye amewahi kucheza...
CORONA YAMPA MATESO PIA HAJI MANARA, MAWAZO YAKE YAPO HIVI
OFISA Habari wa Klabu ya simba, Haji Manara amefunguka kuwa anakosa amani kila anapowaza janga la Virusi vya Corona kwa kuwa hajui litakwisha lini.Manara...
NONGA ASEPA ZAKE IRINGA, AJICHIMBIA MBEYA NA FAMILIA
PAUL Nonga, nahodha wa Klabu ya Lipuli, amesema kuwa kwa sasa amesepa ndani ya mkoa wa Iringa na kujichimbia Mbeya akiwa na familia yake. Nonga...
ZFF WATOA ANGALIZO TFF MGAWO WA MAMILIONI YA FIFA
SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF), limetoa angalizo kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuhusu mgawo wa dola laki tano (zaidi ya Sh bilioni moja) zinazotolewa...