NONGA: MUHIMU KWA WACHEZAJI KUCHUKUA TAHADHARI NA KUFANYA MAZOEZI
NAHODHA wa Lipuli, Paul Nonga amesema kuwa kwa sasa wanaendelea kuchuukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona huku wakilinda vipaji vyao kwa kufanya mazoezi...
POLISI TANZANIA YATUMA UJUMBE HUU KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Ndanda FC amesema kuwa ni jambo la msingi kwa kila mmoja kwa sasa kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya...
ILIKUWA KITAMBO, SAINI YA NAHODHA WA MTIBWA SUGAR NA SASA NI KOCHA MKUU, CHEKI...
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zubery Katwila mkataba wake wa kwanza kusaini ilikuwa ni mwaka 1999 mbele ya mmoja wa wakurugenzi wa wakati huo...
ISHU YA CHAMA NA KANDA YANGA WAIKOMALIA, HUYU HAPA SAUTI YA MWISHO
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna mashaka iwapo Kocha Mkuu, Luc Eymael atapendekeza majina ya nyota wawili wanaokipiga ndani ya Simba ambao...
KOCHA COASTAL UNION AWATAKA WACHEZAJI KUCHUKUA TAHADHARI NA KULINDA VIPAJI VYAO PIA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa ni muhimu kwa wachezaji wake kufanya mazoezi kwa sasa kujiweka sawa licha ya kupitia kipindi...
MUUAJI WA SIMBA ABADILISHIWA MAZOEZI
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amebadilishiwa program na kocha wake, Luc Eymael ambapo kwa sasa anafanya mazoezi ufukweni.Morrison aliwafunga Simba kwenye mchezo wa...
VITALIS MAYANGA HAELEWI KILICHOMFANYA AWE BUTU NDANI YA KMC
VITALIS Mayanga mshambuliaji anayekipiga ndani ya Ndanda FC amesema kuwa mpaka sasa haelewi kilichomkwakmisha kufunga mabao alipokuwa ndani ya Klabu ya KMC.Mayanga alipewa dili...
GWIJI MANCHESTER UNITED AMPA TANO FERNANDES
GWIJI wa Manchester United, Paul Scholes, amesifu mchango ulioletwa na Bruno Fernandes klabuni hapo, akisema raia huyo wa Ureno amekuja na kitu kilichokosekana kwa...
NYOTA WA GOFU APIGA HESABU ZA KUIBUKIA KWENYE BIASHARA KUINUA KIPATO
NYOTA wa gofu Afrika Mashariki na Kati anayekipiga katika klabu ya gofu ya Lugalo jijini Dar es Salaam, Angel Eaton, amesema mipango yake hivi...
KMC WAVUNJA KAMBI, WACHEZAJI WANAFUTILIWA KWENYE MITANDAO
UONGOZI wa KMC umesema kuwa unawafuatilia wachezaji wao namna wanavyofanya mazoezi kupitia makundi ya WhatsApp jambo ambalo linawafanya wazidi kufanya mazoezi zaidi.Ligi Kuu Bara...