NYOTA WA KARIOBANGI AKUBALI KUTUA YANGA KIROHO SAFI

0
YIDAH Sven kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Kariobangi Sharks amesema kuwa yupo tayari kuibukia ndani ya Klabu ya Yanga iwapo utaratibu utafuatwa.Mkataba wa...

AZAM FC YAKUMBUMBUKA TAJI LAO LA KWANZA NDANI YA LIGI KUU BARA KWA MARA...

0
UONGOZI wa Azam FC  leo unakumbuka miaka sita iliyopita baada ya kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza bila kucpoteza mchezo. Aprili...

HUMUD ACHEKELEA DILI LA KUJIUMGA NA YANGA, AZUNGUMIZA MAISHA YAKE NDANI YA MTIBWA SUGAR

0
ABDULHAMAN Humud nyota anayekipiga ndani ya Mtibwa Sugar amesema kuwa maisha anayoishi ndani ya kikosi hicho anayapenda na yanampa furaha kwa sasa.Humud amekuwa akihusishwa...

MWAMBA WA LUSAKA CHAMA ATAJA MASHARTI YA KUTUA YANGA

0
CLATOUS Chama, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa Yanga haiwezi kuipata saini yake msimu ujao wa mwaka 2020/21 kutokana na kuwa...

SENZO – TULIENI..MAMBO MAZURI YANAKUJA MSIMBAZI

0
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba wamekuwa wakihusishwa kuwafuatilia wachezaji mbalimbali ndani na nje ya nchi hasa Bara la Afrika.Simba inapanga kufanya usajili...

KISA CORONA.. WACHEZAJI WA AZAM FC WATENGWA..!!

0
AZAM FC  mabosi wao bado wanakuna kichwa juu ya maisha yatakuaje mara baada ya wachezaji wao kurejea kama hali ya ugonjwa wa corona itatulia.Mtendaji...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA JUMAPILI

0
MUONEKANO wa Ukurasawa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili lipo mtaani Jipatie nakala yako 

JEURI YA PESA..!! SIMBA YAZUIA NYOTA WAKE 10 KUSEPA

0
JEURI ya fedha iliyoonyeshwa na Simba katika kipindi cha misimu mitatu mfululizo imewatia pingu kwa muda wa misimu mitatu mfululizo nyota 10 wazawa tofauti...

ANDRES PALOP KIPA WA ZAMANI WA VALENCIA APONA VIRUSI VYA CORONA

0
KIPA wa zamani wa klabu ya Valencia na Sevilla, Andres Palop hatimaye ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kuugua ugonjwa wa COVID19   unaosababishwa na Virusi...

MBELGIJI WA YANGA KUSHUSHA KIUNGO ATAKAYEMPA CHANGAMOTO TSHISHIMBI

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael amepanga kushusha kiungo mmoja mkabaji wa kimataifa atakayecheza namba sita baada ya kugundua upungufu katika safu hiyo.Safu...