SPURS YACHAPWA NJE NDANI NA CHELSEA

0
OLIVER Giroud na Marcos Alonso leo wamepeleka furaha ndani ya kikosi cha Chelsea baada ya kuichapa mabao 2-1 timu ya Tottenham iliyo chini ya...

JIANGSU SUNING INAHAHA KUIPATA SAINI YA BALE ILI KUMPELEKA CHINA

0
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Real Madrid wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la nyota wao Gareth Bale ili akajiunge na timu moja ya...

AZAM FC YAKUTANA NA RUNGU LA TFF, MILIONI MOJA YAMEGUKA

0
KLABU ya Azam FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuchelewa kutoka uwanjani hata Kamishna alipowaita walikaidi amri...

BREAKING:KIWIKO CHAMPELEKA MORRISON KAMATI YA NIDHAMU

0
KIUNGO Mshambuliaji Bernard Morrison anayekipiga ndani ya Yanga  amepelekwa Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kosa la kumpiga...

KIKOSI CHA AZAM FC LEO KITAKACHOANZA DHIDI YA NAMUNGO

0
KIKOSI cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya Namungo FC Uwanja wa Majaliwa

MBWANA SAMATTA KAZINI TENA LEO ENGLAND

0
MBWANA Samatta mshambuliaji wa Aston Villa, Mtanzania anatarajia kukiongoza kikosi chake kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Southampton Uwanja wa St Mary's.Villa...

YANGA YAWAITA MASHABIKI WAKE KUIPA SAPOTI MKWAKWANI

0
UONGOZI wa Yanga umewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi kesho Mkwakwani kuipa sapoti timu yao.Yanga itamenyana na Coastal Union kwenye mchezo wa pili wa Ligi...

RAHEEM STERLING ATAKA CHANGAMOTO MPYA

0
RAHEEM Sterling, nyota wa Manchester City iliyo chini ya Pep Guardiola amesema kuwa hana mashaka iwapo atahitaji kuondoka ndani ya Klabu hiyo kwani naye...

HIZI HAPA 12 UWANJANI LEO KUSAKA POINTI TATU

0
LEO Ligi Kuu Bara inaendelea ambapo timu 12 zitakuwa uwanjani kuzisaka pointi tatu muhimu namna hii:-Namungo V Azam Fc, 10:00 JioniMbao V Mwadui Fc,...

AZAM FC: TUPO TAYARI KUPAMBANA NA NAMUNGO

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kupambana na Namungo leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Majaliwa.Azam FC inakumbukumbu...