HAYA HAPA MAKUNDI YA CHAN 2020,TANZANIA YAPANGWA KUNDI D

0
MICHUANO ya Chan inatarajiwa kufanyika mwezi Aprili 2020 nchini Cameroon na Tanzania imepangwa Kundi D pamoja na mataifa ya Zambia, Namibia na Guinea kwenye...

UJUMBE HUU WATUMWA KAGERA SUGAR KUTOKA SIMBA

0
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa wataendelea kuzitafuta pointi tatu kwenye mechi zao zote watakazocheza ikiwa ni pamoja na mechi ya kesho dhidi...

ARSENAL YAPATA MSHTUKO KUFUNGIWA KWA CITY KUSHIRIKI UEFA MIAKA MIWILI

0
MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa alipata mshtuko baada ya kupata habari kwamba Manchester City imefungiwa kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa...

MZUNGU WA AZAM FC ACHEMKA KWA MBONGO HUYU NJE NDANI

0
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union ambaye ni mzawa ndani ya Bongo amemchemsha Kocha bora wa mwezi Januari, Arstica Cioaba raia wa Romania...

MOLINGA APEWA ZIGO HILI NDANI YA YANGA

0
DAVID Molinga, ‘Falcao’ amepewa mzigo mzito wa kufunga mabao mengi ndani ya Yanga na kujifunza kukaa kwenye nafasi akiwa ndani ya Uwanja.Molinga ni kinara...

TWIGA STARS KAZINI TENA KESHO, WAMETEMBEZA VICHAPO KWA WAWILI

0
MASHINDANO ya Kanda ya Kaskazini kwa Timu za Wanawake (UNAF) yanaendelea na kesho timu ya Taifa ya Twiga Stars itashuka uwanjani kumenyana na Morocco.Mchezo...

MZUNGU WA SIMBA AJIVUNIA HIKI HAPA KUTOKA KWA WACHEZAJI WAKE

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa kurejea kwa nahodha wa Simba John Bocco kunawavuruga wapinzani na kumpa matokeo mazuri ndani ya uwanja.Bocco...

CONTE AKIRI MAMBO MAGUMU SERIE A, JUVENTUS YAISHUSHA NA LAZIO PIA YAWAVUTA CHINI

0
ANTONIO Conte, Kocha Mkuu wa timu ya Inter Milan inayoshiriki Seria A ya Italia amesema kuna ugumu wa kupata matokeo kwenye mechi zake kutokana...

NYOTA ANAYEMKIMBIZA KAGERE MDOGOMDOGO ATAJA KINACHOMBEBA

0
YUSUPH Mhilu, mshambuliaji namba moja ndani ya Kagera Sugar amesema kuwa siri kubwa iliyojificha kwenye mafaniko yake ni juhudi na kufuata maelekezo ya mwalimu.Mhilu...

LIPULI YAACHANA NA ISHU YA SIMBA,NGUVU ZAO ZIPO HUKU

0
NAHODHA wa timu ya Lipuli, Paul Nonga amesema kuwa morali ya wachezaji kwa sasa ni kubwa kuelekea kwenye mechi yao inayofuata dhidi ya Mbeya...