HAPA NDIPO AMBAPO WANAPATAKA YANGA MSIMU HUU, MZUNGU ATAJA NAFASI WATAKAYOMALIZA KWENYE LIGI

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji Luc Eymael amesema kuwa ana imani kikosi chake kitamaliza msimu huu wa Ligi Kuu Bara katika nafasi ya pili...

VITA YA KUWANIA SAINI YA NYOTA WA SIMBA NA TP MAZEMBE NI BALAA

0
VITA ni kali kati ya Klabu za Simba na TP MAzembe ya DR Congo ambapo kila moja inataka kumchukua mshambuliaji Deo Kanda. Nyota huyo anayecheza...

LORENZO SANZ, ALIYEKUWA RAIS WA REAL MADRID AFARIKI

0
Rais wa zamani wa timu ya Real Madrid ya Hispania, Lorenzo Sanz amefariki dunia kwa virusi vya corona. Sanz mwenye umri wa miaka 76 alikuwa Rais...

WAWILI, BABA NA MWANA NDANI YA AC MILAN WAGUNDULIKA NA CORONA

0
KIONGOZI wa benchi la ufundi la AC Milan ya Italia, Paolo Maldini mwenye umri wa miaka 51 na mwanaye Daniel anayekipiga timu ya vijana...
Habari za Michezo leo

ALLIANCE FC YAMUWEKA PEMBENI KOCHA MKUU MINZIRO

0
UONGOZI wa Alliance FC umesema kuwa umeamua kumuweka pembeni kwa muda Kocha Mkuu wa timu hiyo Felix Minziro ili kutibu majeraha yake ya mguu...

ISHU YA BEKI WA AZAM FC MORRIS KUJIUNGA NA SIMBA IPO NAMNA HII

0
UONGOZI wa Azam FC, umesema kuwa una mkataba mrefu na nyota wao Agrey Morris ambaye anakipiga ndani ya Azam FC.Beki huyo amekuwa akihusishwa kujiunga...

CORONA IMEZUIA SHEREHE YA NDOA YANGU

0
NA LUC EYMAELKATIKA gazeti la Championi jana nilizungumzia mambo kadhaa kuhusiana na mpira wa Tanzania nikjaribu kulinganisha mambo kadhaa kutokana na uzoefu wangu katika...

NYOTA WA ZAMANI WA MANCHESTER UNITED APATA CORONA

0
MAROUANE Fellaini, kiungo wa zamani wa Klabu ya Manchester United anayekipiga ndani ya Klabu ya Shandong Luneng ya China amegundulika na Virusi vya Corona.Nyota...

TAMKO LA TTF KUHUSU MOLINGA NA EYMAEL LAIVURUGA YANGA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa iwapo tamko la Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) litaamua kuwazuia wachezaji waliovuka mipaka ya Tanzania kutokucheza mechi za...

MATOKEO YA MECHI ZA SVEN VANDENBROECK NDANI YA SIMBA YAPO NAMNA HII

0
SIMBA ikiwa nafasi ya kwanza na pointi 71 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck amekiongoza kikosi hicho kwenye mechi 18.Matokeo...