MTIBWA SUGAR: TUNAICHAPA SIMBA NA POINTI TATU TUNASEPA NAZO

0
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kichapo kwa Simba ni halali yao kwani wanawatambua vema hivyo hawatawasumbua kwenye mchezo wao wa...

MZUNGU AMBADILISHIA MAJUKUMU NCHIMBI KISA MOLINGA

0
LUC Eymael amesema kuwa kazi kubwa aliyompa mshambuliaji wake Ditram Nchimbi ni kutengeneza nafasi za mabao kwa mshambuliaji mwenzake David Molinga akishindwa basi inabidi...

HUYO LUKAKU ANASIFA, WAPINDUA MEZA KIBABE NA TIMU YAKE MBELE YA AC MILAN

0
LICHA ya Ante Rebic wa AC Milan kufunga bao la kuongoza kwa timu yake dakika ya 40 na Zlatan Ibrahimovic kupachika msumari wa pili...

MBARAKA YUSUPH AREJEA RASMI AZAM FC BAADA YA KUWA NJE MWAKA MMOJA

0
MBARAKA Yusuph, mshambuliaji wa Azam FC amerejea uwanjani baada ya kukaa nje kwa muda wa mwaka mmoja.Mbaraka alikuwa anasumbuliwa na majeraha ya goti aliyoyapata...

SENZO AMKATALIA SVEN, MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatatu, Februari 10.

KUNA UMUHIMU WA HAKI KUTENDEKEA KWA UPANDE WA WAAMUZI WA BONGO

0
SIKU hizi vijiwe vyote mada ni moja tu, suala la waamuzi kuboronga kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, hakuna kingine.Niko kwenye kijiwe kimoja cha kahawa...

MUZIKI WA KOCHA BORA, MCHEZAJI BORA NI MOTO JANUARI, CHEKI WANAVYOKIMBIZANA

0
JANUARI wengi wanapenda kuuita mwezi dume kutokana na kuwa na majalada mengi ambayo yamechanganywa sehemu moja ila ghafla tu umemeguka na sasa ni Februari.Kwenye...

MORRISON ATAJWA KUWA TISHIO ZAIDI YANGA, KOCHA AANIKA SABABU

0
Luc Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Ubelgiji, amesema kuwa mchezaji wake Bernard Morrison atafunga mabao mengi kwenye ardhi ya Bongo kutokana na...

VITA YA MANARA NA JERRY MURO YAREJEA TENA

0
Ile vita ya maneno iliyokuwa ikivuma miaka takribani mine iliyopita kati ya Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara na Aliyekuwa Afisa Habari wa Yanga,...

BOSI MPYA BODI YA LIGI AJA NA AGIZO ZITO

0
UONGOZI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umemtangaza Almas Kasongo kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa Bodi ya Ligi (TPLB) kuchukua nafasi...