BARCELONA KUFANYA USAJILI MAALUMU KUOKOA JAHAZI, MAJEMBE HAYA YATAJWA

0
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaweza kufanya usajili maalumu msimu huu ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chake.Kwa sasa kikosi hicho kina wachezaji wawili ambao...

SIMBA : WAPINZANI WETU WALIKUWA VIZURI, TULISHINDWA KUTUMIA NAFASI

0
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kilichowaponza washindwe kupata matokeo mbele ya JKT Tanzania, Uwanja wa Uhuru ni kushindwa kutumia nafasi walizozipata.Simba ilichapwa...

MATAMKO YA KOCHA YANGA JUU YA NIYONZIMA

0
Luc Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa miongoni mwa vitu anavyojivunia ndani ya Yanga ni kuwa na aina ya wachezaji wengi wenye uwezo...

JEMBE JIPYA YANGA LAREJEA

0
Mshambuliaji wa Yanga, Tariq Self Kiakala, amewaambia mashabiki wa timu hiyo kuwa yupo fiti na amepona kabisa majeraha yake.Tariq aliumia mguu katika mchezo dhidi...

LUC AJA NA KITU KIPYA YANGA

0
Katika kuisuka safu yake ya ushambuliaji, Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael ametengeneza kombinesheni tatu hatari za kufunga mabao huku akimtumia kiungo wake...

MO AMPIGIA SALUTI NIYONZIMA

0
KITENDO cha kiungo wa Yanga, Mohamed Issa ‘Mo Banka’, kuamua kumvulia jezi namba 8 na kumpatia kiungo wa zamani wa kikosi hicho Haruna Niyonzima...

BAADA YA KUMUUA KIONGOZI MKUBWA IRAN, MAREKANI YAUA MWINGINE, TRUMP AFUNGUKA

0
Marekani imemuua kiongozi wa Al-Qaeda katika eneo la Rasi ya uarabuni, Rais Donald Trump ameeleza.Qasim al-Raymi aliyeongoza kikundi cha Jihad tangu mwaka 2015, aliuawa...

KAGERE, KAHATA KUMEKUCHA SIMBA

0
MEDDIE Kagere, kinara wa utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu, pacha yake na mchezaji mwenzake wa zamani walipokuwa Gor Mahia ya Kenya,...

KOCHA AFICHUA CHANZO CHA NCHIMBI

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, ameweka wazi kwamba alimtumia mshambuliaji wake, Ditram Nchimbi baada ya straika huyo kumuomba msamaha kufuatia kuondoka kikosini bila...

LALLANA AJIANDAA KUSEPA LIVERPOOL, ARSENAL, TOTTENHAM ZAPIGANA VIKUMBO

0
KIUNGO wa timu ya Liverpool, Adam Lalallana anajiandaa kwa sasa kusepa ndani ya kikosi hicho kilicho chini ya Jurgen Klopp.Nyota huyo mwenye miaka 31,...