YANGA YAPAGAWA NA POINTI MOJA ILIYOAMBULIA NDANI YA DAKIKA 180
BEKI wa Kulia wa Yanga amesema kuwa kitendo cha timu yake kuruhusu mabao kwenye mechi zao mbili ni hatari kwa afya ya timu yao...
SIMBA YAIPOTEZEA YANGA LIGI YA MABINGWA JUMLAJUMLA
BEKI wa Simba, Pascal Wawa, amefunguka kuwa kwa sasa wapinzani wao wakiwemo Yanga wanatakiwa kusahau juu ya kushiriki katika michuano ya Ligi ya Mabingwa...
BRUNO APIGA MKWARA MZITO KWAMBA MOTO WAKE BADO SANA
KIUNGO wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema kuwa moto wake ndani ya klabu hiyo hautazima lazima afanye maajabu makubwa.Nyota huyo ametwaa tuzo tatu ikiwa...
KAMBI YA TIMU YA JKT TANZANIA YAVUNJWA RASMI LEO
UONGOZI wa Klabu ya JKT Tanzania, leo Machi 18,2020 rasmi umevunja kambi yake kutokana na maelekezo yaliyotolewa jana na Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu...
YANGA: TULIWABANA MBAVU NAMUNGO, WASHUKURU MWAMUZI
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwassa amesema kuwa Namungo FC washukuru bahati haikuwa yao kwani waliwabana mbavu na kushinda bao la halali ambalo lilikataliwa...
SASA LIGI KUU BARA KUCHEZWA BILA MASHABIKI UWANJANI
KIKAO cha Kamati ya Uongozi cha TFF kimeazimia kuwa, baada ya siku 30 Serikali itakaporuhusu michezo kuendelea, mechi za Ligi Kuu Bara, Ligi Daraja...
CHAN NA AFCON KUPANGIWA TAREHE, KAMBI YA STARS YAVUNJWA
MASHINDANO ya CHAN ambayo yanawashirikisha wachezaji wa ligi za ndani pamoja na yale ya Afcon yatapagiwa tarehe kulingana na hali itakavyokuwa ya ugonjwa wa...
MPANGO MKUBWA WA KUMALIZA LIGI KUU ENGLAND UPO NAMNA HII
IMEELEZWA kuwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu England zimepanga kumalizia msimu wa 2019/20 kwa kucheza mechi zao zilizobaki bila kuwa na mashabiki na kwenye viwanja...
KAMBI YA AZAM FC YAVUNJWA RASMI LEO MPAKA APRILI 17
KLABU ya Azam FC, leo Machi 18, 2020, imevunja rasmi kambi yake na kuwaruhusu wachezaji wote kurudi makwao.Taarifa rasmi iliyotolewa kupitia ukurasa wa Instagram...
WAWILI SASA NDANI YA JUVENTUS WATHIBITISHWA KUWA NA CORONA
KIUNGO Blaise Matuidi anayekipiga Juventus ya Italia inayoshiriki Serie A amepatikana na ugonjwa wa Corona.Klabu yake ya Juventus imethibitisha hilo na kumfanya afikishe idadi...