MZUNGU WA YANGA: TARATIBU WACHEZAJI WANAKUJA, WATAFANYA MAKUBWA
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa atawajenga wachezaji wake kuwa katika hali ya kujiamini kwa muda atakaokuwa nao mazoezini na ana imani...
MTIBWA SUGAR: LIGI YA MSIMU HUU NI BALAA
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa ushindani wa msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara ni mkubwa jambo ambalo linafanya kila...
SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA POLISI TANZANIA LEO, TAIFA
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kuzisaka pointi tatu leo mbele ya Polisi Tanzania.Simba itamenyana na Polisi Tanzania,...
AZAM FC SI YA MCHEZO, ILICHOFANYA JANUARI NI SHIDA TUPU
AZAM FC iliyo chini ya Kocha Mkuu Arstica Cioaba, mwezi Januari,2020 imeweka rekodi ya kucheza mechi tano bila kupoteza mchezo .Kwenye mechi tano ilizocheza...
NEYMAR KUIKOSA NANTES LEO
PARIS Saint-Germain (PSG) itamkosa mshambuliaji wake raia wa Brazil, Neymar Jr kwenye mchezo wa Ligue 1 utakaochezwa leo dhidi ya Nantes kutokana na majeruhi.Neymar...
SABABU YA JKT TANZANIA KUBADILI UWANJA MBELE YA COASTAL UNION HII HAPA
MCHEZO wa leo wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Coastal Union uliopaswa uchezwe kwenye Uwanja wa Isahmuyo majira ya saa...
AZAM FC V TANZANIA PRISONS KESHO TAIFA NI MOTO
AZAM FC, kesho Uwanja wa Taifa itakuwa na kazi ya kumenyana na Tanzania Prisons ya Mbeya kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.AzaM FC itashuka...
VARDY ANA BALAA AKIWA UWANJANI, KWA KUCHEKA NA NYAVU
JAMIE Vardy, mshambuliaji wa Leicester City ni rafiki namba moja wa nyavu ndani ya Ligi Kuu England kwa msimu wa 2019/20.Amecheka na nyavu mara...
POLISI, PRISONS ZANUFAIKA NA MVUA
TIMU ya Tanzania Prisons ya Mbeya na Polisi Tanzania zinazomilikiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani, wiki hii zimefanikiwa kuondoka na ushindi kwenye mechi...