BAADA YA KUPATA CORONA, FA NA MENEJA WA DIAMOND WAWAONDOA WASIWASI WATANZANIA
HAMIS Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amesema kuwa licha ya kugundulika na Virisu vya Corona bado yupo fiti asilimia mia.FA amethibitisha kuwa amekutwa na...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
MANCHESTER UNITED YAINGIA ANGA ZA BARCELONA, WAITAKA SAINI YA BEKI WA KATI UMTITI
SAMUEL Umtiti, beki wa kati wa Barcelona yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na klabu ya Manchester United.Nyota huyo anatarajiwa kusajiliwa ndani ya United kwenye...
KINACHOIMALIZA MBAO FC NDANI YA LIGI CHAWEKWA BAYANA
UONGOZI wa Mbao FC umesema kuwa kinachoikwamisha timu hiyo kuwa na matokeo mazuri ni ukata unaoimaliza timu hiyo yenye maskani yake Mwanza.Mbao FC imecheza...
BEKI WA JUVENTUS RUGANI: SIKUWA NA DALILI ZA CORONA
DANIELE Rugani, beki wa Juventus amesema kuwa hakuwa na dalili zozote za Virusi vya Corona licha ya vipimo kuonyesha kuwa ana Virusi hivyo.Beki huyo...
MTIBWA SUGAR YAACHANA NA ISHU YA GHARAMA WALIZOTUMIA TANGA
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa umeachana na suala la kufikiria gharama walizotumia kujiaandaa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Coastal Union na...
SABABU YA AZAM FC KUWA NAFASI YA PILI NA SIO YA KWANZA IPO HIVI
MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin Amesema kuwa marekebisho ya Uwanja wao wa Azam Complex yamechangia kwa kiasi chake kuiweka timu hiyo nafasi...
MBELGIJI WA YANGA AACHIWA KAZI YA KUCHAGUA WACHEZAJI ANAOWATAKA
UONGOZI wa Yanga umempa makali Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Luc Eymael kufanya uchaguzi wa wachezaji ambao anaona watafaa kuendelea kubaki ndani ya kikosi...
NYANDA ZA JUU PALE KUNANI NDANDA KWA SASA
NYANDA za Kanda za Juu Kusini kuna timu mbili ambazo zinapambana ndani ya Ligi Kuu Bara zikiwa kwenye mipango tofauti kwa sasa.Namungo ya Ruangwa...
KOSAKOSA ZA KAGERE KWA YANGA BADO ZIPO KICHWANI MWAKE, HIKI HAPA AMESEMA
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa nafasi mbili alizomkosa mlinda mlango wa Yanga, Metacha Mnata kwenye dabi ya Kariakoo huwa zinamkosesha raha.Kagere alikosa...