MBELGIJI WA SIMBA AWAKA KINOMA, AWAPA MAKAVU WACHEZAJI WAKE

0
SVEN Vanderboeck raia wa Ubelgiji, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wanashindwa kutumia nafasi wakiwa ndani ya 18 jambo ambalo linawapa ugumu...

AZAM FC YAIPANIA MTIBWA SUGAR LEO, YAWAITA MASHABIKI

0
JAFARY Manganga, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi Uwanja wa Uhuru kuipa sapoti timu hiyo itakapomenyana na Mtibwa Sugar.Azam...

MTIBWA SUGAR WAIPA TANO SAHARE STARS

0
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa timu ya Sahare Stars ipo vizuri na ikipambana itafikia malengo iliyojiwekea.Sahare iliwanyoosha Mtibwa Sugar kwenye...

MORRISON KIPENZI CHA MASHABIKI WA YANGA ATOA AHADI HII TAMU

0
BERNARD Morrison, nyota mpya wa Yanga amesema kuwa ataendelea kutoa burudani kwa mashabiki bila kuchoka kwani ni kitu anachokifikiria muda wote.Morrison amecheza mechi mbili...

YANGA YAKIONA CHA MOTO KAMATI SAA 72

0
BALAA walilokutana nalo Yanga ni kupigwa faini ya shilingi milioni 2.7 kutoka kwa Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi (Kamati ya saa 72)...

KOCHA WA NAMUNGO AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE LICHA YA KICHAPO, ISHU YA BAO LA...

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa timu ya Namungo amesema kuwa wachezaji wake wamejitahidi kucheza mbele ya Simba licha ya kufungwa mabao 3-2.Namungo iliyo nafasi...

AFC WAHAMISHIA HASIRA ZAO KWA PAMBA

0
UONGOZI wa timu ya Arusha umesema kuwa makosa waliyofanya kwenye mchezo dhidi ya Gwambina FC hayajatajirudia tena kwenye mechi yao inayofuata dhidi ya Pamba...

MICAH: GUARDIOLA ALIBUGI HAPA MBELE YA MANCHESTER UNITED

0
MICAH Richard, mchezaji wa zamani wa Manchester City amesema kuwa mfumo alioutumia Kocha Mkuu wa City, Pep Guardiola ulimponza mbele ya Manchester United na...

MTIBWA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA AZAM FC

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata pointi tatu mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa UwanjaUhuru.Ofisa Habari...

KUMBE, KOCHA WA SAMATTA ALIJUA UWEZO WAKE UNGEFIKA UKINGONI DAKIKA HIZI, CHEKI ALICHOMWAMBIA

0
KOCHA Mkuu wa Aston Villa, Dean Smith amesema kuwa alijua kwamba lazima nguvu ya Mbwana Samatta ingefika ukingoni dakika ya 60-65.Samatta ameanza maisha mapya...