JEMBE ATUMA UJUMBE HUU YANGA

0
HUU hapa Ujumbe wa Mwandishi na mchambuzi wa masuala ya michezo Bongo, Saleh Jembe kwenda kwa Yanga:-KWENU UONGOZI WA YANGAKamati ya mashindano kazi yake...

MBELGIJI WA SIMBA AWAVAA WACHEZAJI WAKE TENA, KUMBE LUGHA TATIZO

0
SVEN Vanndrbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna tatizo kubwa la mawasiliano kwa wachezaji wake jambo ambalo linawafanya washindwe kupata mabao mengi wakiwa...

YANGA WAJANJA SANA, WAIPIGA BAO MAZIMA SIMBA KWA KIUNGO WAO MPYA

0
BERNARD Morrison, kiungo mpya wa Yanga amesema kuwa mashabiki wasiwe na hofu naye ataongeza mkataba mwingine mrefu ili kuendelea kuwapa burudani.Inaelezwa kuwa, Morrison alipewa...

MBWANA SAMATTA AKUTANA NA HILI KUTOKA KWA BOSI WAKE MPYA, KAZI ANAYO

0
DEAN Smith, Kocha Mkuu wa timu ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England amesema kuwa mshambuliaji wake Mbwana Samatta ni lazima aongeze juhudi ili...

AZAM FC WAZIDI KUJIFUA, WATUMA UJUMBE HUU KWA WAPINZANI WAO

0
JAFFARY Maganga, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kikosi kinaendelea na maandalizi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa kesho, Januari 27 dhidi...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA JUMAPILI, JANUARI 26

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili

KAKOLANYA AWEKA AHADI SIMBA

0
MLINDA mlango namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya amesema kuwa kwa sasa anataka kuweka rekodi mpya ndani ya Simba kwa kucheza mechi bila kuruhusu...

YANGA KUISHUSHA SIMBA KILELENI

0
KIUNGO mchezeshaji fundi Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ‘Fabregas’ amewatoa hofu mashabiki wa Yanga na kuwasisitiza wazibeze kejeli za Simba.Staa huyo mwenye mapenzi na Yanga, amesisitiza...

MORRISON APEWA MAAGIZO YANGA

0
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael, amesema kuwa hapendi kuzungumzia uwezo wa mchezaji mmojammoja wa timu yake lakini kiwango ambacho amekionyesha kiungo mshambuliaji...

KICHUYA ATIBUA HALI YA HEWA SIMBA

0
SHIZA Kichuya mzee wa kona bao, ametibua hali ya hewa Simba kutokana na uwezo anaozidi kuonyesha kwenye mazoezi ya timu yake hiyo kiasi cha...