SIMBA: HATUPO LEVO MOJA

0
Juzi iliyopita Mashabiki wa Simba walikuwa wakiimba maneno ya msemaji wao, Haji Manara kwamba wao hawapo levo moja na timu nyingine za Ligi Kuu...

KINACHOMBEBA KOCHA MPYA SIMBA CHATAJWA

0
Sven Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba, ametaja kwamba kucheza kwa haraka na kutumia mfumo wa 4-3-3 ndiyo silaha pekee ambayo inamfanya ang’ae na kupata...

BABA LEVO AKERWA NA DIAMOND ‘AMELETA UDINI’

0
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva na diwani wa kata ya Mwanga kaskazini Baba Levo amefunguka na kuonyeshwa kukerwa na baadhi ya vitu vilivyotokea...

KOCHA SIMBA AMCHAGUA MCHEZAJI WAKE BORA KATI YA MO HUSSEIN NA GADIEL MICHAEL

0
Kocha wa zamani na mchezaji aliyekipiga Simba Sports Club, Abdallah King Kibadeni, amemchagua Mohammed Hussein kuwa beki wake namba mbili bora dhidi ya Gadiel...

BAADA YA SAMATA KUTUA ASTON VILLA, MTANZANIA MWINGINE ARITHI NAFASI YAKE GENK

0
MSHAMBULIAJI chipukizi wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’, anajiunga rasmi na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania,...

SERIKALI YAAMUA KUTOA TAMKO JUU YA SAMATTA KUTUA ASTON VILLA – VIDEO

0
Baada ya kusani mkataba wa miaka minne na nusu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  jana Januari 21, 2020, amemwasa mcheza...

KAKOLANYA ALAMBA SHAVU SIMBA

2
KOCHA wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameonekana kuvutiwa zaidi na kiwango cha kipa Beno Kakolanya, hiyo ni baada ya kumpa shavu kipa huyo kuanza...

HAWA NDIO MAKIPA KIBOKO YA MEDDIE KAGERE, WALICHOMFANYA SIO POA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliajI wa Simba, anateswa na mikono ya mlinda mlango wa KMC, Jonathan Nahimana na Razack Abarola kutokana na kuziokoa kiulaini penalti alizowapigia.Msimu...

NENO LA SAMATTA KWA WATANZANIA HILI HAPA, MBAYA KWELI KWENYE NYAVU

0
MBWANA Samatta, nyota mpya wa Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England amesema kuwa kwa hatua aliyofikia ni suala la kushukuru Mungu huku akiahidi kuendelea...

SVEN APINDUA UFALME WA MANULA, SASA KAKOLANYA ANAPETA KINOMA

0
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ameonekana kumpa shavu kipa namba mbili Beno Kakolanya huyo kuanza katika michezo sita kati ya michezo kumi ambayo...