MTIBWA SUGAR MNASTAHILI PONGEZI KWA KUTWAA TAJI LA MAPINDUZI 2020, WAZAWA WAMEONYESHA UKOMAVU

0
MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2020 safari yake ilihitimishwa rasmi, Januari 13, Jumatatu wiki hii ambapo mchezo wa fainali ulipigwa kati ya...

KAGERA SUGAR: MASHABIKI NJOONI MUONE BURUDANI MBELE YA YANGA

0
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar hajawa na matokeo mazuri kwenye mechi zake za Ligi Kuu Bara ndani ya mwaka mpya 2020 kwa...

JAMES KOTEI AZUNGUMZIA ISHU YAKE NA YANGA, KILICHOMKUTA KAIZER CHIEFS ACHA KABISA

0
KIUNGO bora ndani ya klabu ya Simba msimu wa mwaka 2018/19 James Kotei ambaye alitimkia Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini amekubaliana kuvunja mkataba na...

AZAM FC KAZINI TENA EO MBELE YA LIPULI, TAIFA

0
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC  leo ana kazi nzito mbele ya Lipuli FC kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Lipuli utakaochezwa Uwanja...

MBELGIJI WA YANGA KUTESTI MITAMBO LEO MBELE YA KAGERA SUGAR, TAMBO ZATAWALA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael na msaidizi wake Riedoh Berdien ambao wamepewa kandarasi ya mkataba wa mwaka mmoja na nusu leo watakuwa na...

TOTTENHAM WABISHI KWELI, WAIGOMEA MKWANJA WA INTER MILAN NA KUWAPA MASHARTI MENGINE

0
UONGOZI wa Tottenham umeigomea timu ya Inter Milan kumpata nyota wake Christian Eriksen ambaye yupo kwenye mpango wa kutimka ndani ya kikosi hicho.Tottenham iliyo...

KICHAPO CHA BAO 1-0 MBELE YA MTIBWA SUGAR CHAFUMUA MIPANGO YOTE SIMBA, CHEKI HESABU...

0
BAADA ya Simba kulipoteza mara ya pili mfululizo Kombe la Mapinduzi kwa kupokea kichapo cha 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar hesabu zao zimebadilika ghafla...

YANGA NOMA YATAWALA KIKOSI CHA KWANZA, MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI...

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano, Januari 15,2020, lipo mtaani

NAMNA SERIKALI ILIVYOMRUDISHA MO DEWJI SIMBA

0
Baada ya Mwekezaji Mkuu wa klabu ya Simba, Mo Dewji kutangaza kujiondoa katika Bodi ya klabu hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

NIYONZIMA AINYIMA UBINGWA SIMBA

0
Kiungo mtoa burudani awapo uwanjani, Haruna Niyonzima, amesema yupo katika kikosi cha Yanga ili kuipa ubingwa timu hiyo na si kitu kingine.Kauli ya Niyonzima...