HAJI MANARA AAMUA KUWACHANA TENA YANGA JUU YA USAJILI WA KOTEI, AJA NA KAULI...

0
Baada ya kuenea kwa tetesi ambazo awali zilikuwa zinasema kuwa Yanga wanamhitaji kiungo aliyewahi ichezea Simba, James Kotei, Ofisa Habari wa Simba, ameibuka na...

LINGINE LAIBUKA JUU YA YANGA NA JAMES KOTEI

0
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kuwa haujaamua kumsajili kiungo aliyekuwa akiichezea Simba, James Kotei sababu hana ubora wa kuichezea timu hiyo.Kwa mujibu wa...

ZAHERA AIBUKA UPYA, AINGILIA USAJILI YANGA, HILI NDILO TAMKO LAKE

0
Kocha wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera, ameibuka na kuwapa hongera Yanga kufuatia usajili wa kiungo, Owen Bonyanga Ituku, kutoka TP Mazembe.Zahera ameeleza kuwa mchezaji...

KOCHA MPYA YANGA AANZA NA MADINI HAYA

0
Habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba kocha wao mpya, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, tayari ameanza kumwaga madini ndani ya kikosi chake...

BREAKING; KICHAPO CHA BAO 1-0 KUTOKA KWA MTIBWA, MO ABWAGA MANYANGA

0
BAADA ya Simba kushindwa kuchukua taji la Mapinduzi leo Visiwani Zanzibar, Mwenyekiti wa Bodi ya klabu ya Simba, Mo ameamua kujiuzulu kwa kuandika namna...

HILI NDILO JESHI LA MTIBWA LILILOANZA DHIDI YA SIMBA

0
MTIBWA Sugar jeshi lake lililoanza dhidi ya Simba lipo hivi

LIVE FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: MTIBWA SUGAR 0-0 SIMBA

0
Dakika ya 27 Kakolanya anaanzisha mashambulizi kwa KadoDakika ya 25 Simba wanapata faulo nje kidogo ya 18 inapigwa na ChamaDakika ya 24 Simba wabapata...

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MTIBWA SUGAR

0
Kikosi cha Simba dhidi ya Mtibwa Sugar, mechi ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar.

U 17 MNASTAHILI PONGEZI KWA USHINDI WA KWANZA, TIMU ZA VISIWANI ZANZIBAR ZINAPASWA ZIJITATHIMINI...

0
MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka huu wa 2020 tamati yake itakuwa leo Jumatatu ambapo itacheza mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Amaan...

REKODI ZA KIBABE ZA MAPINDUZI ZIPO NAMNA HII, HAPA NDIPO UTAMU ULIPO

0
LEO Jumatatu, Uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar kutakuwa na kazi moja tu kwa mashabiki wa mpira kushangilia timu zao za Simba na Mtibwa Sugar,...