MWANADADA OLIVA SHIRIMA AFANYA YAKE SPORTPESA AKIBEBA SH MILIONI 5.3
Mshindi wa bonasi wiki hii ya Jackpot ya SportPesa Bi. Oliva Andrea Shirima kulia akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi mil 5,334,294/= na Mwenyekiti wa...
HAWA HAPA USO KWA USO KWENYE KOMBE LA FA, SIMBA V MWADUI, YANGA V...
LEO, Januari 10, droo ya hatua ya 32 ya michuano ya Kombe la Shirikisho imechezeshwa na timu zilizotinga hatua hiyo zimemtambua mpinzani wake.Kombe la...
YANGA WAONYESHENI GSM, WANASTAHILI KUBAKI JANGWANI
NA SALEH ALLYMHIMILI wa mwendo wa Yanga kwa kipindi hiki ni wadhamini wao, ukianzia na Sportpesa ambao ni wadhamini wakuu halafu GSM, kampuni inayouza...
TWENDENI TAIFA TUKAWAPIGE PAMOJA BURUNDI TWENDE KOMBE LA DUNIA
NA SALEH ALLYUTAIFA hauwezi kuwa nyimbo za mdomoni pekee, badala yake vitendo vinavyothibitisha nia na hamu ya utaifa wa mtu.Moja ya nguzo ya utaifa...
KAPTULA YA ZAHERA HAIWEZI KUWA ISHU, TWENDENI NA MAMBO YA MSINGI
NA SALEH ALLYKILA mmoja anaweza kuamua kusikiliza hadithi anayoamini inaweza kumfurahisha lakini wakati mwingine unalazimika kusikiliza ile usiyoipenda ili kujua jambo.Hadithi inayovutia masikio ni...
DUH! KUMBE LUGHA TATIZO KUBWA KWA VIFUAVIWILI
BRUNO Tarimo ‘Vifuaviwili’ bondia wa ngumi za kulipwa ambaye ni bingwa wa International Super Feather Weight ambao ameupaata hivi karibuni nchini Serbia kwa kumtwanga...
KASEJA TUNAMSIFIA LAKINI TUKUMBUKE TULIPOMTENGA ILI TUSIRUDIE KWA WENGINE
NA SALEH ALLYKAMA itakuwa ni ishu ya maswali basi tutasema mjadala umefungwa kwa kuwa hakuna cha kuuliza tena.Pamoja na hivyo unaweza kujiuliza namna gani...
MASHABIKI WAISHAMBULIA NYUMBA YA NAHODHA TIMU YA TAIFA
Mashabiki jijini Free Town wamevamia na kushambulia kwa mawe nyumba ya Nahodha wa Timu ya soka ya nchi hiyo, Umaru Bangura.Mashabiki hao walifanya hivyo...
BODI YA LIGI YAZIDI KUWAPA WAKATI MGUMU YANGA, WAMBURA AFUNGUKA – VIDEO
Alichokizungumza Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi (TPLB), Boniface Wambura kuhusiana na suala la kanuni za mavazi kwa haswa ikimlenga Kocha Mwinyi Zahera.
NINJA AKUTANA NA ZLATAN LA GALAXY
Beki wa zamani wa Yanga na sasa LA Galaxy II, Abdallah Shaibu 'Ninja' akiwa na straika hatari wa LA Galaxy ya Marekani, Zlatan Ibrahimovic...