SIMBA YATOA TAMKO ISHU YA IST YA KABWILI

0
UONGOZI wa Simba leo umetoa tamko rasmi kuhusu suala la mchezaji wa Yanga, Ramadhan Kabwili, kudai kwamba aliahidiwa kupewa gari aina ya Toyota IST...

KIJITONYAMA VETERANS KUMENOGA, UONGOZI MPYA WAPATIKANA, MOLANDI AANZA NA MKWARA WA KUMSHUSHA MORRISSON

0
TIMU ya Kijitonyama Veterans wikiendi hii ilifanikiwa kupata viongozi wapya watakaoiongoza timu hiyo kwa kipindi cha miaka minne baada ya ya kufanya uchaguzi.Katika uchaguzi...

CHAPCHAP…SPORTPESA WAMWAGA MPUNGA NAMUNGO FC

0
Jumanne tarehe 28 Januari, 2019 Kampuni ya ubashiri ya SportPesa imeingia mkataba wa udhamini wa mwaka mmoja na timu ya Namungo FC inayoshiriki Ligi...

GREALISH: MASHINE ASTON VILLA ITAKAYOJUMLISHA NGUVU NA SAMATTA, KUSAKA UKOMBOZI

0
NA SALEH ALLYMBWANA Ally Samatta ametua England na kujiunga na Aston Villa ambayo iko katika harakati za kupambana kuhakikisha inatoka kwenye janga la kuteremka...

AZAM FC YAFICHUA KILICHOWAPA USHINDI WA MABAO 3-1 MBELE YA FRIEND RANGERS

0
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kikubwa kilichowapa ushindi mbele ya Friend Rangers ni kucheza kwa nidhamu kwa wachezaji pamoja na...

THOMAS ULIMWENGU KUIBUKIA TP MAZEMBE

0
IMEELEZWA kuwa, Mtanzania Thomas Ulimwengu amejiunga na Klabu yake ya zamani ya TP Mazembe aliyesepa klabuni hapo 2016.Taarifa zinaeleza kuwa nyota huyo aliyekuwa anakipiga...

ISHU YA KELVIN YONDANI YANGA IPO NAMNA HII

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa kukosekana kwa Kelvin Yondani kwenye mechi zake tatu ambazo ni sawa dakika 270 ni kutokana na...

SAMATTA ANAAMINI WATANZANIA WOTE WATAMPA SAPOTI

0
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga Klabu ya Aston Villa amesema kuwa kutua kwake ndani ya Aston Villa kutaungwa mkono...

ISHU YA TOYOTA IST YA KABWILI YAPAMBA MOTO, SIMBA KUTOA TAMKO LEO, TFF YAPIGILIA...

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa leo utalitolea ufafanuzi suala la madai ya mlinda mlango wa Yanga, Ramadhan Kabwili kudai kuwa aliahidiwa gari aina ya...

ACHANA NA STORI ZA MORRISON, CHAMA AWEKA AHADI KUBWA SIMBA – VIDEO

0
Mchezaji wa klabu ya Simba, Clatous Chama, ameendelea kuweka rekodi ya kufunga mabao ya mbali yaani nje kabisa ya 18 ambapo amefunga tena kwenye...