SIMBA YAWEKA MEZANI MILIONI 10 KWA AJILI YA KELVIN YONDAN, METACHA MNATA, JUMA KASEJA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa endapo timu ya Taifa ya Tanzania itaibuka kidedea mbele ya timu ya Kenya leo watapewa zawadi ya milioni 10.Zawadi...

JUMA BALINYA, SIBOMANA NA KIPA WA KENYA KUTOA ZAWADI YA NGUVU LEO MOROGORO

0
NYOTA wote wakali ndani ya Yanga leo kuonyesha maajabu bure uwanja wa Jamhuri Morogoro kwenye mchezo wa kukata na shoka wa kirafiki kati ya...

NAHODHA STARS: TUNAPENYA LEO MBELE YA KENYA, MASHABIKI MTUPE SAPOTI

0
JOHN Bocco nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa leo watapambana kuipeperusha Bendera ya Taifa mbele ya Kenya ili kupata matokeo chanya.Taifa...

YANGA YATAKA MAJEMBE HAYA MAWILI, MMOJA KUMCHOMOA KUTOKA SIMBA

0
UONGOZI WA Yanga umesema kuwa bado upo sokoni kusaka majembe mengine makali kwa ajili ya msimu ujao.Dirisha la usajili linafungwa Julai 31 na Shirikisho...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili

STAA MPYA YANGA YAMKUTA MAKUBWA, ISHU YA SAUZI IPO LAIVU NI KESHO NDANI YA...

0
KESHO Gazeti la Spoti Xtra Jumapili limesheheni Habari kamili kuhusu kambi ya Yanga Moro pamoja na ile ya Simba Sauzi

KUMEKUCHA SIMBA, MO AMALIZA UTATA MAZIMA

0
KAULI ya Mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji leo imetoa ile hofu ya mashabiki kuhusu hatma yake ndani ya Simba.Baada ya Waziri wa Habari, Sanaa,...

SIBOMANA WA YANGA APANIA MAKUBWA

0
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, aliyetupia tatu dhidi ya Moro Academy , Patrick Sibomana, amewaambia mashabiki kwamba ndiyo zake wala hakubahatisha wazisubiri nyingi Uwanja wa...

HAWA NDIO WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA

0
TOWNSHIP Rollers ni wapinzani wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali wa Ligi ya mabingwa unaotarajiwa kuchezwa kati ya Agosti 9-11 nchini Botswana na...

HAWA NDIO WAPINZANI WA SIMBA KIMATAIFA HATUA YA AWALI

0
WAPINZANI wa Simba kwenye michuano ya Kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika klabu ya UD Songo, imeanzishwa mwaka 1982 na kampuni moja kubwa nchini...