KOCHA SIMBA ATOA ELIMU YANGA NAMA YA KUWAMALIZA ZESCO, AMTAJA YONDANI
ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amewashauri Yanga kuwafuatilia kwa karibu zaidi wapinzani wao Zesco United kabla ya kukutana...
YANGA YATUMA UJUMBE HUU KWA MASHABIKI, KAZI YAO NI MOJA TU KIMATAIFA
UONGOZI wa Yanga umewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi Septemba14 ili kuwapa sapoti wachezaji wakipambana kwenye mchezo wa hatua ya kwanza na wa kimataifa kwenye...
NYOTA MWINGINE WA SIMBA ATIMKIA KUKIPIGA ASIA
Al Jahara Sporting Club ni nchi inayopatikana ndani ya Bara la Asia katika nchi ya Kuwaiti kwenye mji wa Jahra City.Imeshinda taji la Ligi...
GUARDIOLA AJIUNGA GIRONA FC
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amejiunga na klabu ya Girona ya Hispania ambayo ilishuka daraja msimu uliopita.Guardiola amejiunga na klabu hiyo kama mwanachama...
KOCHA STARS: WACHEZAJI SASA WAMEANZA KUIVA, TIMU KUTIA TIMU BONGO LEO
SELEMAN Matola, Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema wachezaji wameanza kucheza soka linaloeleweka wakiwa uwanjani tofauti na mwanzo jambo linalotoa...
HASSAN MWAKINYO AOMBA KUPIGWA TAFU NA SERIKALI
HASSAN Mwakinyo, bondia wa ngumi za kulipwa Bongo ambaye ni balozi wa kampuni ya kubashiri ya SportPesa ameiomba Serikali kuongeza nguvu ya uwekezaji kwa...
STARS YAJIVUNIA UWANJA WA NYUMBANI, SASA KAZI YA BURUNDI KUISHIA TAIFA
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa anawashukuru mashabiki wa Tanzania kwa kutoa sapoti kubwa jana wakati timu...
BEI MPYA ZA VING’AMUZI VYA DSTV, MAMBO KWA ULAINII….
Kila mtu macho kodo kwa punguzo la hadi 36%DStv PremiumSasa ni TZS 129,000/=Kutoka TZS 169,000/=DStv Compact PlusSasa TZS ni 84,000/=Kutoka TZS 109,000DStv CompactSasa ni...
AZAM FC YAPANIA KUFANYA MAKUBWA MBELE YA WAZIMBABWE
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kupeperusha bendera ya Taifa Kimataifa kwa kupata matokeo chanya mbele ya Triangle FC ya Zimbabwe.Mchezo huo...
YANGA YAZIPIGIA HESABU NDEFU PESA ZA CAF
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unajipanga kufanya vema kwenye michuano ya kimataifa inayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) ili kufikia hatua ya makundi...