MATOLA: AKIPATIKANA MDHAMINI MKUU, MSIMU UJAO UTANOGA

0
SELEMAN Matola Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa msimu ujao utakuwa na ushindani mkubwa endapo atapatikana mdhamini mkuu.Akizungumza na Saleh Jembe, Matola amesema kuwa...

ARSENAL WABISHI KINOMA WAKOMAA NA AUBAMEYANG

0
ARSENAL imesema kuwa haina mpango wa kumuuza nyota wake, Pierre Aubameyang msimu ujao.Awali ilikuwa inaelezwa kuwa haina mpango wa kumuuza nyota huyo msimu ujao...

SIMBA MSIMU UJAO MCHEZAJI MMOJA KUCHEZA ZAIDI YA NAFASI MOJA, MIFUMO MPAKA MITATU

0
PATRICK Aussems,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anataka kuona wachezaji wake wanacheza nafasi zaidi ya moja ili kutumia mifumo miwili au mitatu msimu ujao. Msimu...
Mwambusi

MBEYA CITY: KAZI KUBWA ITAFANYIKA MSIMU UJAO

0
JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa kwa sasa yupo kwenye mkakati wa kukisuka upya kikosi cha Mbeya City ili kifanye maajabu...

WEMA SEPETU AMTAJA BINGWA WA LIGI KUU BARA MSIMU UJAO

0
SHABIKI mkubwa wa timu ya Yanga, Wema Sepetu amesema kuwa ana imani na kikosi cha Yanga kitatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu ujao.Sepetu...

MANCHESTER UNITED: ERICK BAILLY ATAREJEA KWENYE UBORA WAKE

0
MENEJA wa Manchester United amesema kuwa ana imani na mchezaji wake Erick Bailly atarejea kwenye ubora wake licha ya kupata majeraha kwenye mchezo wa...

KOCHA STARS: TUPO TAYARI KUPAMBANA NA KENYA

0
ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa imani ni kubwa kwa timu ya Taifa ya Tanzania kupata matokeo...

DILI LIKIKAMILIKA LUKAKU KUSEPA UNITED MAZIMA

0
ROMELU Lukaku Muda mchache mara baada ya Manchester United kurejea England ikitokea ziarani barani Asia amekwea pipa kuelekea nchini Ubelgiji.Habari zinaeleza kuwa Lukaku ameamua...

SERIKALI YARUHUSU WACHEZAJI KUMI WA KIGENI KUSAJILIWA BONGO, MASHARTI YAKE SI MCHEZO

0
HARRISON Mwakyembe, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, amesema kuwa kwa sasa ni ruksa wachezaji wa kigeni kusajiliwa kumi kwa timu za ndani.Matokeo...

BREAKING: BOCCO ATEULIWA KUWA NAHODHA WA TIMU YA TAIFA

0
Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Ndayiragije Etienne amemteua Mshambuliaji John Bocco kuwa nahodha wa timu ya Taifa kwa wachezaji wa Ndani,akisaidiwa na Juma...