KASEJA ATISHIA AMANI BURUNDI

0
Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinashuka uwanjani leo hii kupambana na Burundi katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia...

KOCHA SIMBA AIPA TAHADHARI YANGA KWA ZESCO

0
Kocha Mkuu wa KMC ambaye amewahi kuzinoa Simba, Coastal Union na Kagera Sugar, ameipa tahadhari mapema Yanga kabla ya kuwavaa Zesco United kwenye mchezo...

YONDANI AAMUA KUTII AMRI

0
Beki Mkongwe wa Klabu ya Yanga, Kelvin Yondani amesema kuwa anakubali uwezo wa beki mwenzake raia wa Ghana, Lamine Moro na kwamba uelewano wao...

PENSI YA ZAHERA YAIBUA MSALAM TENA, APIGWA FAINI YA LAKI TANO, YANGA YAONYWA

0
Kamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chake cha Septemba 2, 2019 ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi...

BREAKING: ZAHERA AFUNGIWA MECHI TATU KUITUMIKIA YANGA

0
Kamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chake cha Septemba 2, 2019 ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi...

MSHINDI JACKPOT YA PREMIER BET KUONDOKA NA SH MILIONI 500, JOTI NAYE AULA

0
Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Kubashiri ya Premier Bet, leo Jumanne imelitambulisha huduma zake mbili za kucheza mchezo huo huku wakiweka dau la Sh milioni...

KLABU ZIWE ROHO YA MAKOCHA WAZALENDO LAKINI NAO…

0
Na Saleh AllyHAPO kabla ni aghalabu sana kuona timu zikitoa nafasi kwa wachezaji wake wa zamani kuwa makocha. Ilikuwa ikifanyika kwa nadra kwa kuwa...

CAF YAWAONGEZEA MCHEZAJI YANGA

0
Shirikisho la Soka Afrika (Caf) wamewapa bonge la mchezaji Yanga baada ya kumruhusu kipa wao, Mkenya Farouk Shikalo kuanza kutumika kwenye Ligi ya Mabingwa...

ALIYEFUNGA MABAO MAWILI NDANI YA MECHI 14 YANGA AANDALIWA PROGRAM MAALUM

0
Baada ya kuonekana kutokuwa vizuri katika kuzifumania nyavu, mshambuliaji wa Yanga, Mnamibia, Sadney Urikhob ameandaliwa program kabambe ya kuhakikisha anakuwa fiti.Kocha Mkuu wa Yanga,...

MESSI AIVURUGA BARCELONA, TETESI ZA SOKA LEO ULAYA JUMANNE HZIKO HAPA

0
Ujumbe mfupi kutoka kwa Lionel Messi huenda ulivuruga mpango wa Barcelona kumsajili tena mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Neymar, 27, kutoka klabu ya Paris...