SANE AINGIA ANGA ZA JUVENTUS

0
TIMU ya Juventus inafikiria kuinasa saini ya winga wa Manchester City, Leroy Sane.Nyota huyi ambaye ni raia wa Ujerumani pia amewekwa kwenye rada za...

MBEYA CITY YAZITAKA POINTI TATU ZA KMC

0
MBEYA City leo watakuwa na kibarua cha kutafuta pointi tatu mbele ya KMC ambayo nayo inazitafuta pointi tatu kwa udi na uvumba.Kocha Mkuu wa...

NAMUNGO FC MAJALIWA WABISHI KINOMANOMA

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa ni kwenye Uwanja wao wa Majaliwa hakuna kilichofukiwa zaidi ya jitihada za wachezaji kutafuta matokeo.Kwenye...

SASA KICHUYA NDANI YA SIMBA MAMBO SAFI, HATMA YAKE MIKONONI MWA KOCHA

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vanderbroeck ameshikilia hatma ya nyota wake Shiza Kichuya kucheza kwa sasa ndani ya kikosi hicho.Kichuya ambaye ni kiungo mshambuliaji...

MBELGIJI WA YANGA AZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA LIPULI

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kupata ushindi mbele ya Lipuli ya Iringa.Yanga itacheza na Lipuli majira ya...

SINGIDA UNTED: MWISHO WA MAUMIVU YETU UNAKUJA, MASHABIKI SAPOTI MUHIMU

0
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa leo utapambana kupata ushindi mbele ya Biashara United kwenye mchezo wao utakaochezwa Uwanja wa Karume.Singida United imekuwa na...

NDANDA V MBAO LEO HAPATOSHI NANGWANDA

0
LEO Uwanja wa Nangwanda Sijaona kutakuwa na mchezo wa kukata na shoka kati ya Ndanda FC dhidi ya Mbao FC ya Mwanza.Mechi ya leo...

HIVI NDIVYO IBRAHIM AJIBU ALIYOIOKOA SIMBA USIKU MBELE YA POLISI TANZANIA

0
IBRAHIM Ajibu, Kiungo mshambuliaji wa Simba jana Uwanja wa Taifa aliiokoa Simba usiku mikononi mwa Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara wakati...

KAGERA SUGAR YAWAITA MASHABIKI KAITABA, YAZITAKA POINTI TATU ZA MWADUI

0
UONGOZI wa Kagera umewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi leo Uwanja wa Kaitaba kushuhudia burudan mbele ya Mwadui FC saa 10:00.Akizungumza na Saleh Jembe, Kocha...

MOLINGA APOTEZWA JUMLAJUMLA KWA MABAO NA KIUNGO HUYU WA SIMBA

0
HASSAN Dilunga, Kiungo mshambuliaji ambaye ni mzawa amempoteza mshambuliaji namba moja wa Yanga, David Molinga raia wa Congo kwenye mechi nne za mwezi Januari...