TANZANIA PRISONS KUINGIA KWA TAHADHARI MBELE YA AZAM FC
ADOLF Rishard, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons amesema kuwa ataigia kwa tahadhari mbele ya Azam FC kwenye mchezo wao wa leo, Februari 5, wa...
MBELGIJI WA YANGA KWENYE MTIHANI MWINGINE MGUMU LEO
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga, raia wa Ubelgiji leo atakabiliwa na mtihani wake wa sita ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kucheza na...
KOCHA SIMBA AELEZA KINACHOMSUMBUA KUHUSIANA NA SAFU YA USHAMBULIAJI
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa bado anasumbuliwa na tatizo la safu ya ushambuliaji kushindwa kumalizia nafasi wanazotengeneza pamoja na safu ya...
AZAM FC YATUMA UJUMBE HUU KWA TANZANIA PRISONS
AZAM FC, leo Februari,5 itakuwa Uwanja wa Taifa saa 10:00 Jioni kumenyana na Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara.Februari,2 ilianza kwa sare ya...
MNAOCHIPUKIA MSIZIPE NAFASI PROPAGANDA ZA HUMUD WA MTIBWA SUGAR
Na Saleh AllyTUMEKUWA na kawaida ya kubadilisha uchukuliaji wa mambo. Yale ya kawaida tukayapa uzito sana na mazito tukayachukulia kuwa mepesi tu, nafikiri ni...
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU KUFUNGA BAO LA KUOTEA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa wale ambao wanalalamika kwamba wamefunga bao la kuotea waripoti taarifa hiyo kituo cha Polisi wakiwa na maelezo kamili.Ofisa...
BETIKA MUONEKANO WAKE WA MBELE UPO NAMNA HII, JIPATIE NAKALA YAKO BURE KABISA
GAZETI LA Betika Lipo Mtaani nakala yake ni Bure kabisa ni maalumu kwa Takwimu na habari za kimataifa za michezo pia kuna matangazo ya...
HIZI HAPA LEO TIMU 14 UWANJANI KUSAKA POINTI TATU
LIGI Kuu Bara leo Februari,5,2020 inaendelea na leo timu 14 ziakuwa kazini kuzisaka pointi tatu muhimu.Ratiba yao ipo namna hii:- Namungo v Alliance, Majaliwa.Ndanda...
KOCHA POLISI TANZANIA AFICHUA KILICHO NYUMA YA KUSHINDWA MBELE YA SIMBA
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa mchezo wake wa jana Februari,4 mbele ya Simba ulikuwa ni mzuri walichoshindwa ni uzoefu tu...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO, LIPO MTAANI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano, Lipo mtaani












