KABLA HATA YA LIGI KUANZA, MBRAZIL SIMBA AANZA NA YANGA
Beki mpya wa Simba kutoka Brazil, Gerson Fraga amesema kuwa anatamani msimu mpya uanze haraka ili aoneshe kile alichonacho.Akizungumza mara baada ya kutua nchini Afrika...
JULIO ASHANGAA KOCHA SIMBA KUTOPEWA STARS, ATAJA SABABU
Kocha wa zamani wa klabu ya Simba, Jamhuri Kihwelo 'Julio' ameshangaa kutokuona watanzania wakipewa nafasi ya kuifundisha Taifa Stars.Kauli ya Julio imekuja siku chache...
AZAM FC KESHO KITAELEWEKA KWA TP MAZEMBE
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kesho lazima wapambane mbele ya TP Mazembe ili kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kagame.Akizungumza na...
BREAKING: KIKOSI KIPYA STARS CHATANGAZWA KWA AJILI YA CHAN, JUMA KASEJA AREJEA
Etienne Ndayiragije atangaza kikosi kipya kwa ajili ya mashindano ya CHAN
DU SANCHEZ NOMA ANAKUNJA MKWANJA MREFU BALAA, UWANJANI NAKO BALAA
ALEXIS Sanchez staa wa Chile anayekipiga Manchester United anashika namba moja kwa kulipwa mkwanja mrefu ndani ya Ligi Kuu England.Mshahara wake kwa mwezi anaolipwa...
UNITED YAPATA KIGUGUMIZI KUZUNGUMZIA ISHU YA LUKAKU, YAIKOMOA MILAN
INTER Milan sasa wanatakiwa kulipa dau la pauni milioni 90 ili kumpata mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku.Raia huyo wa Ubelgiji mwenye umri wa...
NEYMAR JR MKOROFI, KICHAPO CHA MABAO 6-1 WALICHOKIPATA PSG ADAI HAJAKISAHAU
NEYMAR Jr mwenye miaka 27 bado ameendelea kushinikiza ndani ya klabu yake ya PSG apewe ruhusa ya kusepa mazima.PSG bado hawajakubali kumuachia nyota huyo...