NDAYIRAGIJE APANIA REKODI KUBWA

0
Kocha Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije, amesema, anachokifanya kwenye michuano ya Kagame nchini Rwanda ni kusaka rekodi ikiwemo kutetea kombe lao hilo.Azam FC...

YANGA NAYO YATUMA MAJINA 26 CAF TAYARI KUKIIGA LIGI YA MABINGWA AFRIKA, YUMO SHIKALO

0
Majina ya wachezaji 26 wa Yanga ambayo yametumwa CAF kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao.MAKIPA1. Farouk Shikalo2. Metacha Mnata 3. Klaus Kindoki MABEKI4....

MSHAMBULIAJI SIMBA AMALIZANA NA TP MAZEMBE

0
Mshambuliaji wa zamani wa Simba na baadaye Aza FC, Ramadhan Singano, amejiunga na TP Mazembe ya Congo.Singano ambaye aliwahi kung'ara zaidi wakati akiwa Simba...

NOMA!! HUU NDIYO UBALAA WA MIPANGO YA YANGA MSIMU UJAO – VIDEO

0
Klabu ya Yanga imeadhimia kucheza mechi za kirafiki zisizo pungua Tano ili kujiimarisha kuelekea msimu ujao wa ligi kuu.Akizungumza hii Leo na Waandishi wa...

TFF YAIJIBU SERIKALI KUHUSIANA NA KUGOMEA VIKAO VYAKE

0
Kufuatia lile sakasaka la uongozi wa TFF kugomea vikao vya serikali kupitia Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo chini ya Harrison Mwakyembe, shirikisho...

SERIKALI YAKERWA NA TFF, TAMKO LATOLEWA

0
WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa rai yake kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Soka nchini TFF kumtimua kocha Emmanuel...

KIUNGO MPYA KUTOKA GHANA ATUA AZAM

0
UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umekamilisha taratibu za kumsajili kiungo mshambuliaji, Richard Djodi, kwa mkataba wa mwaka mmoja...

MSUVA AMFUATA SAMATTA ULAYA

0
Nyota wa Difaa el Jadida ya Morocco, Mtanzania Saimon Msuva amefunguka kuwa kwa msimu ujao anaweza kuondoka ndani ya klabu hiyo na kutimkia barani...