KUWAONA WA KIMATAIFA SIMBA NA AZAM FC TAIFA BUKU TANO TU

0
MCHEZO wa Ufunguzi wa Ligi Kuu Bara kati ya Azam FC na Simba unatarajiwa kupigwa Agosti 17 uwanja wa Taifa.Mchezo huo ni wa ufunguzi...

KMC LEO WACHEZAJI NI MWENDO WA BATA, KMKM MLIMA MZITO, MALINDI PIA MOTO

0
JACKSON Mayanya, Kocha Mkuu wa KMC amewapa mapumziko ya siku moja wachezaji wake kabla ya kuanza mazoezi kesho kuiwinda AS Kigali hivyo kazi ni...

YANGA YAPANIA KUPINDUA MEZA KIBABE BOTSWANA, SARE YAWAUMIZA KINOMA

0
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kazi kubwa aliyonayo sasa ni kusuka mpango makini utakaowapa matokeo ugenini.Karata ya kwanza kwenye michuano ya...

SIMBA WAIVUTIA PUMZI UD SONGO, MAKALI YAO YOTE KWA AZAM FC

0
PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hesabu kubwa ni mchezo wake wa ngao ya jamii dhidi ya Azam FC utakaopigwa Jumamosi uwanja...

NAIBU WAZIRI WA HABARI, SANAA, MICHEZO NA UTAMADUNI AKABIDHI KOMBE KWA MABINGWA WA NDONDO...

0
NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Michezo na Utamaduni, Juliana Shonza amewakabidhi kombe la Ndondo Cup timu ya UV Temeke, yenye maskani yake Temeke jana...

KOCHA TANZANITE AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO

0
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' amesema kuwa kikubwa kilichowapa ushindi ni kujiamini na kucheza...

SIMBA: TUNAFUNGA HESABU JUMLAJUMLA ZA UD SONGO TAIFA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwenye mchezo wa marudio wa kimataifa dhidi ya UD Songo, unaotarajiwa kuchezwa uwanja wa Taifa itakuwa ngumu kwa wapinzani...

ROLLERS: YANGA SIO WA MCHEZOMCHEZO, TUTAPAMBANA NAO KIBISHI NYUMBANI

0
THOMAS Truch, Kocha Mkuu wa Township Rollers amesema kuwa wamepambana na kikosi chenye ushindani jambo lililofanya wapate sare licha ya kutangulia kufunga.Rollers jana ilikubali...

NYOTA SIMBA KUIBUKIA NAMUNGO FC, DILI YA AFRIKA KUSINI YABUMA

0
ADAM Salamba mchezaji wa Simba dili lake la kujiunga na timu ya Polokwane FC ya Afrika Kusini limebuma na sasa anarejea Bongo kujiunga na...

HALI YA MLINDA MLANGO NAMBA MOJA WA LIVERPOOL BADO KIZUNGUMKUTI

0
JURGEN Klopp, Meneja wa Liverpool amesema kuwa hali ya mlinda mlango Alisson inamtia hofu baada ya kuumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Norwich...