MBELGIJI SIMBA AWAGOMEA WABRAZIL
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick aussems amesema haoni nafasi ya wachezaji wake watatu kutoka Brazil kupata namba za kudumu kwenye timu hiyo kutokana...
MBWANA SAMATTA APANIA KUTUPIA MABAO MENGINE MENGI ZAIDI UBELGIJ
MTANZANIA,Mbwana Samatta anayekipiga kwenye timu ya KRC Genk sasa anazidi kuifukuzia rekodi yake ya mabao 23 aliyoifunga msimu uliopita.Samatta kwa sasa amefikisha jumla ya...
KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA FC LEOPARDS
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo ddhidi ya FC Leopards mchezo wa kirafiki1. Metacha Mnata2. Paul Godfery3. Ally Mtoni4. Kelvin Yondani5. Lamine Moro6. Papy Tshishimbi7....
TANZANIA KESHO KAZINI KUMENYANA NA UGANDA MICHUANO YA CECAFA
KIKOSI cha Timu ya Taifa la Tanzania chini ya miaka 15 Kwa sasa kipo nchini Eritrea kwa ajili ya kushiriki michuano Kwa CECAFA kwa...
LAMPARD KWENYE KIBARUA KINGINE LEO LIGI KUU ENGLAND
KIKOSI cha Chelsea leo kitacheza mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City.Mchezo huu utakuwa ni wa kwanza kuwa nyumbani...
SERIKALI YAIKUBALI YANGA, YAHOJI NANI ANAYESEMA NI DHAIFU
JERRY Muro, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani ambaye aliwahi kuwa Ofisa Habari wa Yanga amewashangaa wanaodai kuwa Yanga ni timu dhaifu.Muro amesema: "Nani...
RATIBA YA MICHUANO YA CECAFA KWA TIMU YA TAIFA CHINI YA MIAKA 15
RATIBA ya michuano ya CECAFA kwa timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 15
KISA ITC FAROUK NA WENZAKE WAWILI KUIKOSA TOWNSHIP ROLLERS WIKI IJAYO, PIGO YANGA
Inaelezwa kuwa kipa namba moja wa Yanga aliyesajiliwa hivi karibuni Farouk Shikalo ataukosa mchezo wa marejeano baina ya timu yake na Township Rollers katika...
MO AZUIA PRESS YA HAJI MANARA SIMBA
Na Haji ManaraBoss wangu (Mo Dewji) amezuia press yangu ya kesho na huyu ni mtu ninayemuheshimu sana ,niwahakikishie nitaendelea kufanya kazi katika Club hii...
HATMA YA SANCHEZ NDANI YA MANCHESTER UNITED HII HAPA
OLE Gunnar Solskjaer, Meneja wa Manchester United amesema kuwa anataka mshambuliaji wake machachari, Alexis Sanchez abaki ndani ya kikosi hicho.Solskjaer kesho atakuwa kibaruani kumenyana...