SASA SIMBA WAHAMISHIA HASIRA MCHEZO WA MARUDIO KIMATAIFA, WAWAITA MASHABIKI

0
PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mpango mkubwa wa kikosi chake ni kwenye mchezo wa marudio dhidi ya UD SongoSimba jana ilicheza...

JESHI KAMILI LA AZAM FC LITAKALOANZA LEO DHIDI YA FASIL KENEMA

0
Kikosi rasmi cha Azam FC kinachotarajia kukipiga dhidi ya Fasil Kenema 16 Razak Abalora14 Nickolas Wadada22 Salmin Hoza05 Yakubu Mohammed15 Oscar Masai03 Daniel Amoah28 Abdallah...

MANCHESTER UNITED NA CHELSEA LEO KITAWAKA, MAMENEJA WA TIMU ZOTE WALIKUWA WACHEZAJI WA TIMU...

0
MANCHESTER United leo itawakaribisha Chelsea kwenye mchezo wa kwanza ambao United inakuwa nyumbani Uwanja wa Old Trafford.Agosti 11, leo Jumapili vumbi itatimka kwa wababe...

NEWCASTEL UNITED KUTUMIA AKILI LEO MBELE YA ARSENAL

0
STEVE Bruce, Meneja wa kikosi cha Newcastle United amesema kuwa leo atapambana kupata matokeo chanya mbele ya Arsenal. "Tunajua kwamba mchezo utakuwa mgumu hilo lipo...

ARSENAL KUANZISHA MASHINE ZAKE MPYA LEO MBELE YA NEWCASTLE UNITED

0
UNAI Emery, Meneja wa Arsenal amesema kuwa leo atawatumia wachezaji wake wengi wapya kwa kuwa anaamini wapo fiti.Mchezo wa kwanza leo Arsenal atamenyana na...

AZAM FC KUTUPA KARATA YAO YA KWANZA LEO KIMATAIFA

0
AZAM FC, leo wana kazi ya kutupa kete ya kwanza mbele ya Fasil Kenema nchini Ethiopia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho utakaochezwa majira...

TANZANITE YABEBA KOMBE LA COSAFA, YALIPA KISASI KWA ZAMBIA LEO

0
TIMU ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' leo imetwaa ubingwa wa michuano ya COSAFA nchini Afrika Kusini baada ya kulipa kisasi...

SIMBA WAIKOMALIA YANGA, WAIPA TANO KISHA KUICHANA KIMTINDO

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa Yanga wanastaihili pongezi ila wamewaangusha wananchi kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Township Rollers jana uwanja...

ZAHERA AFICHUA KINACHOIMALIZA YANGA, APANIA KUPETA UGENINI

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa bado kikosi chake hakijawa na maelewano mazuri jambo ambalo liliwapa taabu kupata matokeo kwenye mchezo wao...

SIMBA WAREJEA BONGO KUIWAHI AZAM FC

0
KIKOSI cha Simba baada ya kumaliza mchezo wao wa kimataifa dhidi ya UD do Songo nchini Msumbiji kilikwea pipa na kurejea Bongo.Simba walikuwa ugenini,...