DUH KUMBE LUKAKU ALIKUWA UNITED MAWAZO YAKE JUMLA YAPO INTER MILAN
ROMELU Lukaku nyota mpya wa Inter Milan amewaambia mashabiki na viongozi wa timu yake ya zamani Manchester United kuwa wanastahili shukrani.Lukaku amekamilisha dili ya...
NYOTA MPYA WA YANGA, RAIA WA RWANDA SIBOMANA AAMUA KUFANYA KWELI, AMSHUSHA MKEWE DAR
PATRICK Sibomana, mshambuliaji mpya wa Yanga ameamua kufanya kweli kwenye mchezo wa kimataifa wa kesho dhidi ya Townshipp Rollers.Muda mfupi kabla ya kuwavaa wababe...
UONGOZI WA YANGA WAKOMELEA MSUMARI ISHU YA JUMA ABDUL, DANTE NA YONDAN
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa ni lazima madai ya wachezaji wanaoidai timu hiyo yafanyiwe kazi kabla ya kurejeshwa ndani ya kikosi hicho.Juma Abdul pamoja...
KMC SIO WA MCHEZOMCHEZO, WAMFUATA HARUNA NIYONZIMA WA SIMBA KIBABE
KIKOSI cha KMC, hakitaki kabisa utani kimataifa kwani jana kimewafuata wapinzani wao kibabe wakiwa wametupia mavazi matata.KMC inapeperusha Bendera ya Tanzania Kimataifa ambapo Agosti...
YANGA YATOSHANA NGUVU NA MALINDI, WACHOMOA BAO DAKIKA ZA USIKU
KIKOSI cha Yanga kimetoshana nguvu na kikosi cha Malindi FC kwenye mchezo wake wa kirafiki uliochezwa visiwani Zanzibar.Yanga imeweka kambi maalumu visiwani Zanzibar kwa...
YANGA KUMENOGA, SIMBA NAKO KAMA KAWA, KESHO NDANI YA CHAMPIONI
KESHO ndani ya CHAMPIONI Ijumaa
ISHU YA MGOMO WA BEKI KISIKI WA YANGA, KELVIN YONDANI IPO NAMNA HII
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hakuna tatizo kati ya Yanga na beki kisiki Kelvin Yondani kwani ameomba ruhusa kutokana na matatizo...
TANZANITE YATINGA JUMLA FAINALI COSAFA, YAWAPIGA MABAO 2-0 AFRIKA KUSINI
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' leo imetinga hatua ya fainali baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0...
SIMBA HAWALALI, WAICHANA YANGA KIMTIDO, YADAI IMEWAPOTEZA MAZIMA KWENYE MAPATO NA MASHABIKI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umewapoteza kwa mbali wapinzani wao kwenye mahesabu pamoja na mashabiki waliohudhuria kwenye mechi za kimataifa za kirafiki.Yanga ilianza Jumapili...
YANGA: HAKUNA TIMU YENYE REKODI YA KUJAZA UWANJA WA TAIFA KIMATAIFA KAMA SISI
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hakuna rekodi ambayo imewahi kuvunjwa na timu yoyote ya kujaza uwanja wa Taifa mapema tangu walipofanya wao Julai 28...