MAJEMBE KUMI MAPYA YALIYOTAJWA KUTUA SIMBA HAYA HAPA, NI MAJIBU YA MAPIGO KWA YANGA

0
Kuelekea Msimu Ujao Wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Klabu Ya Simba Imepania Kufanya Usajili Hatari Kushinda Msimu Uliopita. Hawa Ni Wachezaji 10 Wapya Wanaoelezwa...

KOCHA WA KINDOKI AMPA ONYO AISHI MANULA KISA TAIFA STARS ‘AWE MAKINI’

0
Kipa wa zamani wa Yanga, Juma Pondamali, amemshauri kipa wa Taifa Stars, Aishi Manula kuongeza jitihada langoni.Pondamali amezungumza hayo ikiwa ni siku mbili zimepita...

MASHABIKI YANGA MBEYA WAONESHA JEURI KUBWA YA PESA – VIDEO

0
Wasikilize mashabiki wa Yanga mkoani Mbeya wakielezea nia yao ya kuchangia kiasi cha shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia usajili ndani ya klabu...

MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA NJOMBE

0
Jeshi la Polisi mkoani Njombe kwa kushirikiana na wananchi limefanikiwa kuwaua majambazi wawili huku mmoja akifanikiwa kutoroka kwa kutumia gari ndogo aina ya Special.Akizungumza...

HILI NDIYO KOSA LA UWOYA

0
Mwanadashosti Mwenye mvuto wake kuna Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya, kwa mara ya kwanza amefunguka kosa kubwa alilolifanya kwenye maisha yake.Uwoya aliliambia gazeti alipendalo...

BREAKING NEWS!! KAGERA SUGAR YASALIA LIGI KUU, MWADUI NAYO YACHEKELA DHIDI YA GEITA

0
Na George MgangaMabao ya Ally Ramadhan mnamo dakika ya 51 kipindi cha pili na Japhet Makalai katika dakika ya 79 yameiwezesha Kagera Sugar kusalia...

MWADUI WABISHI KINOMAA, WAIKOMALIA GEITA

0
Salim Aiyee mshambuliaji wa Mwadui FC leo ameibuka shujaa baada ya kufunga mabao 2 ya ushindi yaliobakiza timu yake Ligi Kuu Bara.Aiyee alianza kucheka...

Timu za Ligi kuu msimu 2019/2020 hizi hapa

0
Baada ya mechi za mtoano kumalizika,  Mwadui Fc na Kagera Sugar zimeungana na timu 18 za awali zikiwemo timu mbili zilizopanda daraja...

PLAYOFF LIVE: KAGERA SUGAR 0-0 PAMBA

0
Kagera Sugar 0-0 PambaUwanja wa KaitabaKipindi cha kwanzaMCHEZO kwa sasa kati ya Kagera Sugar na Pamba FC zote za kanda ya ziwa umeanza ikiwa...