HUU HPA UKWELI WA MABOSI SIMBA, YANGA KUPEWA ‘UBOSI’ NDANI YA SINDIGA BS….
Vigogo waliowahi kushika nyadhifa mbalimbali kwenye timu za Simba na Yanga kwa nyakati tofauti wametangazwa na Singida Black Stars kushika nyadhifa mbalimbali kwenye klabu...
CAMARA vs MASTAA SIMBA USO KWA USO TANZANIA IKIUMANA NA GUINEA…SHOW IKO HIVI…
Kipa wa Simba, Moussa Camara ni miongoni mwa wachezaji 23 walioitwa katika kikosi cha Guinea kitakachocheza mechi mbili za kuwania kufuzu fainali za mataifa...
FT:- SIMBA 4-0 KMC….AHOUA ALIVYOWAUA YANGA KILELENI….
Timu ya Simba Sports Club imefanikiwa kupanda kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya KMC...
TAJIRIKA NA UEFA LEO NDANI YA MERIDIANBET…ODDS ZA UHAKIKA HIZI HAPA..
Leo ni leo asemaye kesho ni muongo, je unajua kwanini?. Ni kwasababu Meridianbet Tanzania wanakwambia umeshasuka jamvi lako sasa na mechi UEFA?. Kama bado...
SIO MAOKOTO TU….MGUSO MWINGINE WA MERIDIANBET KWA JAMII HUU HAPA….
Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet kupitia taasisi yake ya Meridianbet Foundation imetimiza miaka mitano, Huku ndani ya miaka hiyo mitano wakifanikiwa...
CASINO YA RICH PANDA HII HAPA INAKUPA MAOKOTO YA UHAKIKA KILA SEKUNDE….
Tamba kitaani kwako leo kwa kucheza mchezo wa kasino wa Rich Panda leo kwani unakupa fursa ya kuondoka na maokoto ya kutosha, Wadau wa...
KIBU TENA…AFIKISHA MWAKA BILA KUFUNGA GOLI…MUKWALA APEWA UJANJA ZAIDI…
Leo ikiwa ni Novemba 5 2024 kiungo mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis anatimiza mwaka mmoja bila kufunga bao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mara...
KUHUSU KUTOKUCHEZA…KIBWANA AVUNJA UKIMYA YANGA…’ATUPA DONGO’ KWA GAMONDI…
KATIKA misimu ya hivi karibuni, jina la Kibwana Shomary limekuwa likihusishwa na mafanikio makubwa ya klabu ya Yanga, hasa wakati wa utawala wa kocha...
HAKIKISHA MKEKA WAKO WA LEO UNASOMA ODDS HIZI ZA MERIDIANBET….
Ligi ya Mabingwa Ulaya imerejea na kasi ya 5g kule Meridianbet wakati huo huo wewe andaa jamvi lako na mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania...
KUELEKEA LIGI YA MABINGWA …WAARABU WAANZA KUMTOLEA MACHO AZIZ KI…
Nahodha wa Al Hilal ya Sudan, Mohamed Abdelrahman, amesema anategemea mchezo mgumu wakati kikosi hicho kitakapopambana na Yanga Novemba 26 mwaka huu kwenye Uwanja...