Tag: soka la bongo
JONAS MKUDE AANZA RASMI KUFANYA MAAJABU YAKE KATIKA KIKOSI CHA YANGA,...
KIUNGO mpya wa Yanga, Jonas Mkude ameanza kazi kuelekea msimu mpya wa 2023/24.
Safari huu Mkude mzawa mwenye uwezo eneo la kiungo atakuwa na uzi...
SIMBA HAWATAKI UTANI KABISA, WENGINE WATATU WATAMBULISHWA SIO POA
MTU tatu kwa mpigo zimetambulishwa ndani ya Simba rasmi baada ya kusaini dili jipya kuwa kwenye familia ya Msimbazi.
Ni Julai 20 watatu wametangazwa kwa...
ACHANA NA SHABAN CHILUNDA MWAMBA MWINGINE HUYU HAPA KATUA MSIMBAZI
KLABU ya Simba imetangaza kukamilisha usajili wa Kiungo Abdallah Hamisi kwa kandarasi ya miaka miwili.
Nyota huyo wa zamani wa timu za Muhoroni Youth Fc,...
TRY AGAIN ATAMBA KUMSAJILI STRAIKA WA UHISAPANIA SIMBA HII SIO POA
Mchezaji wa zamani wa CD Tenerife ya nchini Hispania, Shaban Chilunda
SIMBA wamefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa zamani wa CD Tenerife ya nchini Hispania,...
ALLY KAMWE ATAMBA, UONGOZI NAO WAWATAJA WAPINZANI
UONGOZI wa Yanga, umebainisha kuwa, wapinzani watachagua mabao mangapi wafungwe watakapokutana kuanzia msimu wa 2023/24 kutokana na ubora walionao.
Ni Avic Town, Kigamboni, Dar, hapo...
MALONE AFUNGUKA KILA KITU KUHUSU YEYE KUTUA SIMBA
MLINZI mpya wa Klabu ya Simba Che Malone Fondoh amesema aliamua kujiunga na timu hiyo ili kuonesha daraja alilo nalo anapokuwa dimbani.
Che Malone amesema...
BAADA YA YANGA KUMCHUKUA MKUDE, SIMBA YAMLETA MBADALA WAKE
Baada ya kuachana na kiungo, Jonas Mkude aliyeitumikia Simba SC kwa miaka 13, Wanamsimbazi wamemalizana na kiungo Mtanzania, Hamis Abdallah anayekipiga nchini Kenya.
Simba SC...
NAMBA 6 WA YANGA, BEKI AFUNGUKA BALAA LAKE
Mara baada Yanga kumtambulisha nyota wa Marumo Gallants, Mahlatse Makudubela, beki aliyekuwa akicheza naye, Mpho Mvelase ameeleza jinsi Yanga watakuwa wamelamba dume kutokana na...
CAF WANASUBIRI USAJILI WA YANGA KIMATAIFA, TFF YATOA NENO
Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ limethibitisha kuwa Klabu ya Young Africans hadi sasa haijafanya usajili wa Michuano ya Kimataifa (Ligi ya Mabingwa Barani Afrika)...
CHAMA AIVURUGA SIMBA, MO AIBUKA
WAKATI nyota wanne wa Simba wakisafiri jana alfajiri kwenda kambini nchini Uturuki, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Mzambia, Clatous Chama amebaki Dar, huku sakata...