Tag: soka
KUMBE ROBERTINHO ALIKUWA ANATAFUTIWA SABABU TU
Mchambuzi wa soka Yahya Njenge amesema aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera 'Robertinho' alikuwa anatafutiwa sababu ya kufukuzwa na ikapatikana baada ya...
WANASIMBA WANAMTAKA MWAMBA HUYU ARUDI MSIMBAZI
Aliyewahi kuwa kocha wa Simba SC Sven Van Dabroek ambaye alifundisha FAR Rabat naWydad Casablanca zote za nchini Morocco kisha akafundisha CR Belouzdad ya...
MAMBO HAYA NDIO CHANZO CHA KIPIGO CHA SIMBA KWA MKAPA
Simba SC, juzi Jumapili ilikubali kipigo cha mabao 5-1 dhidi ya Yanga, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es...
HUYU HAPA NDIE ALIYESHIKA MIKOBA YA ROBERTINHO
Baada ya Simba kutoa Taarifa za kuachana na Kocha wake Mkuu Roberto Oliveira 'Robertinho, hatimaye Kocha Daniel Cadena ambaye amepewa majukumu ya muda kukinoa...
KWAPUA VIBUNDA NA MECHI ZA LIGI YA MABINGWA LEO
Ligi ya Mabingwa Ulaya imerudi ambapo itapigwa leo hii na kesho, hivyo nafasi ya wewe kukwapua vibunda ipo wazi sana ambapo kwa dau lako...
CHAMA HALI SI HALI SIMBA MAMBO YAZIDI KUWA MAGUMU
Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chota Chama ameuanza msimu huu vibaya kwenye ligi kuu tofauti na misimu iliyopita akiwa ndani ya timu hiyo.
Takwimu zilizokusanywa...
TAKWIMU HIZI ZINASEMA DABI YA KARIAKOO ILICHEZWA KWA DAKIKA 50 TU
BADO Yanga inashangilia ushindi wake wa mabao 5-1, dhidi ya watani zao Simba wanaoumia kupewa kichapo hicho kikubwa ikiwa ni kama kisasi kwani mei...
MAXI, AZIZ KI WAIPONZA SIMBA, MILIONI 300 ZIMEPITA HIVI
Mastaa wa Simba juzi walipoteza Sh300Milioni mkononi baada ya kupoteza mechi dhidi ya Yanga.
Viongozi walikaa na wachezaji Jumamosi jioni kwenye kambi yao Jijini Dar...
MVURUGANO ULIANZIA HAPA KIBU ATAJWA
Mchambuzi wa soka nchini Yahaya Mohamed 'Mkazuzu', amesema Simba ilianza kuharibika baada ya Kibu Denis kuumia.
Mkazuzu ametoa mtazamo wake huo alipokuwa akiuchambua mchezo wa...
KIEMBA AFUNGUKA KILICHOWAPONZA SIMBA
Mchambuzi wa soka Amri Kiemba, amesema kilichosababisha Simba washushiwe kipigo na Yanga ni baada ya Wekundu hao kuacha kuwaheshimu wapinzani wao.
"Pamoja na Yanga kuwa...