Tag: YANGA
YANGA BABA LAO UBINGWA WA FA…SIMBA WAFUATA NYUMA
UNAWEZA kusema kwamba Klabu ya Yanga ni Baba lao kwenye michuano hii ya Shirikisho, ambapo imechukua ubingwa mara 7, ikufuatiwa na Simba mara 4....
SANKARA AFUNGUKA KILA KITU KUHUSU YANGA
Mshambuliaji wa Asec Mimosas, Karamoko Sankara hatimaye amefunguka dili lake na Yanga huku akisema kuwa amekuwa akiwapigia simu wachezaji wa sasa wa Yanga, Pacome...
GAMONDI ATUMIA DIRISHA DOGO KUWANYOOSHA MASTAA YANGA
Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amewatega wachezaji wake kwa kuwaambia kuwa mchezaji atakayeshindwa kuonyesha kiwango bora katika Kombe la Mapinduzi, basi safari...
YANGA WAKOMAA NA PACHA WA NZEGELI…. ISHU IKO HIVI
Klabu ya Union Maniema imenogewa na biashara na Yanga na sasa iko kwenye hatua za mwisho kumwachia winga fundi ambaye alikuwa pacha wa Maxi...
KWANINI MSUVA ASAINI YANGA…… HIZI HAPA SABABU 5 ZA YEYE KUFANYA...
Faili la mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ambaye kwa sasa yupo nchini baada ya kumalizana na JS Kabylie ya Algeria, limetua kwa...
UWEPO WA MAXI KOMBE LA MAPINDUZI KOCHA ATOA TAMKO HILI
Yanga imeanza maandalizi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024 inayoanza Alhamisi, huku safu yake ya ushambuliaji ikizalisha mabao mengi ikiongozwa na Stephane Aziz...
AZIZ KI AFUNGA MWAKA KWA AINA YAKE…. AZAM NAO WASEPA NA...
Wamefunga mwaka kibabe! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo mshambuliaji nyota wa Yanga, Stephane Aziz KI na timu nzima ya Azam FC, kufunga mwaka...
MSUVA AIKATAA YANGA BAADA YA KUTUA BONGO
Mshambuliaji Simon Msuva yupo nchini tayari baada ya kutua tangu majuzi kimyakimya, kuwahi kambi ya timu ya taifa inayojiandaa na fainali za Kombe la...
MTANANGE SIMBA,YANGA MILIONI 100 MAPINDUZI CUP
Kamati ya Kombe la Mapinduzi 2024 imetangaza zawadi za washindi wa msimu huu kwa kuweka bayana bingwa ataondoka na kitita cha Sh100 milioni, huku...
KAMA MASIHARA CHASAMBI AIKACHA YANGA……ATUA SIMBA STORY KAMILI IKO HIVI
Nyota wa klabu ya Mtibwa Sugar Ladack Chasambi amesajiliwa na kikosi cha Simba kwa dau la million 70 na mshahara wa Million mbili ...