GAMONDI AMKINGIA KIFUA HAFIZ KONKANI, ISHU IKO HIVI
Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Gamondi amesema kuwa anafurahi kuona mshambuliaji wake mpya, Hafiz Konkoni anaanza kufunga mabao ndani ya timu hiyo huku akiamini…
Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Gamondi amesema kuwa anafurahi kuona mshambuliaji wake mpya, Hafiz Konkoni anaanza kufunga mabao ndani ya timu hiyo huku akiamini…
Wakati Nabi alipotangaza kuondoka Yanga na kisha benchi lake zima la ufundi likamfuata katika mlango wa kutokea pamoja na straIka kinara Fiston Mayele, wengi walitaka…
Winga wa Klabu ya Yanga, Skudu Makudubela amerea nchini Tanzania akitokea kwao Afrika Kusini alikokuwa amekwenda kwa ajili ya matibabu baada ya kuumia kwenye mchezo…
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amewatupia dongo Klabu ya Azam baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika na Klabu…
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe ameitaka Klabu ya Al-Merreikh ya Sudan kusema mapema kuwa mchezo wao wa Kimataifa wa Ligi ya Mabingwa…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, Yanga leo inaanza kampeni ya kutetea taji hilo dhidi KMC. Mchezo huo pekee wa ligi hiyo…
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Mosses Phiri, ametangaza hali ya hatari kwa mabeki wa timu za Ligi Kuu Bara zikiwemo Yanga na Azam kwa kuwaambia amejipanga…
LEO Jumatano Agosti 23, 2023 Yanga ikitarajiwa kuvaana na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi ameweka wazi…
Kocha Miguel Gamondi alisema licha ya ubutu wa safu ya ushambuliaji ila hana wasiwasi na hilo kutokana na aina ya soka analofundisha kwani kila mchezaji…
Kuna hesabu ngumu mabosi wa Yanga wanazipiga juu ya kukiboresha kikosi chao hasa juu ya kuiongezea makali safu yao ya ushambuliaji na kuna mastraika watatu…