FEISAL SALUM LEO MKWAWANI KUNACHIMBIKA , YANGA WAJIPANGE
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ameonekana kuwa mwenye tabasamu muda wote akiwa Mkwakwani jijini Tanga. “Angalia nyuso za furaha kwenye mazoezi ya mwisho leo…
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ameonekana kuwa mwenye tabasamu muda wote akiwa Mkwakwani jijini Tanga. “Angalia nyuso za furaha kwenye mazoezi ya mwisho leo…
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema yupo fiti na tayari kuipambania timu yake itakayojitupa uwanjani kesho Jumatano (Agosti 09) kupambana dhidi ya…
Jumapili iliyopita Simba walikuwa na Tamasha lao la “Simba Day” katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Kilele cha Tamasha hilo kilifana sana…
Klabu ya Yanga walijianda mapema kuishi bila uwepo wa Yanick Litombo Bangala. Ukitazama vikosi hivi (4) vya mwisho kwenye mashindano yote, utabaini kuwa Yanga SC…
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Miguel Gamondi amewataka washambuliaji wa timu yake kuhakikisha wanatengeneza rekodi kubwa ya kufunga magoli ya kutosha kutoka kwa kila nafasi…
Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, wa Yanga SC, CPA Haji Mfikirwa, wakati wa uzinduzi wa Documentary inayohusu mafanikio ya klabu hiyo kwa msimu wa 2022/23…
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almasi Kasongo amesema waandaaji wa mashindano ya Super League wameomba klabu ya Simba itolewe kwenye ratiba ya Ligi…
Mshambuliaji mpya wa Young Africans, Hafiz Konkoni amesababisha kushindwa kupewa nafasi kwa kiungo wa kimataifa wa Burundi, Gael Bigirimana, ambaye alirudi kikosini baada ya kuenguliwa…
Kikosi cha Yanga kimeondoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoani Tanga kushiriki mashindano ya Ngao ya Jamii Yanga ikitarajiwa kucheza na Azam Fc katika mchezo…
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza mechi ya watani wa jadi kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC itapigwa Novemba 5, 2023 saa…