KUELEKEA AFCON 2027….MOTSEPE ATIA NENO MAANDALIZI YA TZ, KENYA NA UGANDA…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF), Dk. Patrice Motsepe, Jijini Rabat,...
KISA AHOUA KUPIGWA BEI SIMBA…..KOCHA YANGA AVUNJA UKIMYA…ATAJA KISA….
TAARIFA za Simba kumuuza kiungo Jean Charles Ahoua, kwa namna moja zimeonekana kumshtua kocha wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia.
Simba imemuuza...
ZA NDAANI KABISAA…..HAYA HAPA MAMBO 2 ‘KUNTU’ YALIYOMRUDISHA CHAMA SIMBA….
DEAL Done! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo fundi raia wa Zambia, Clatous Chama ‘Mwamba wa Lusaka’ kurudi Simba baada ya kusaini mkataba...
SIKU CHACHE BAADA YA KUSAJILIWA SIMBA….AHMED ALLY ‘ATUPA JIWE GIZANI’ KWA KIBABAGE…
MSEMAJI wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amewaomba mashabiki wa klabu hiyo kumpokea na kumpa ushirikiano beki wa kushoto Nikson Kibabage, akisisitiza kuwa...
KIPA MPYA ATAMBULISHWA MSIMBAZI
KLABU ya Simba SC imemtambulisha rasmi mlinda lango wao mpya, Mahamadou Tanja Kassali, raia wa Niger, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuimarisha kikosi...
TANZANIA YAPANDA NAFASI MBILI UBORA FIFA
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’imepanda kwa nafasi mbili katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA)...
MAKONDA AIHAKIKISHIA FIFA USHIRIKIANO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni...
YANGA KUIFATA AL AHLY MISRI JUMATANO
KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini kesho alfajiri kuelekea nchini Misri, mji wa Alexandria, kwa ajili ya mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika...
BURUDANI NA KALAMBA GAMES NA MERIDIANBET
Wachezaji wa kasino, simama tayari kwa mapinduzi ya kweli mtandaoni. Meridianbet imeungana na Kalamba Games, kampuni ya kimataifa inayojivunia ubunifu wa sloti za kisasa zenye muonekano...
MFUMO WA YANGA WAANZA KUELEWEKA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amesema kikosi chake kimeanza kuonyesha mabadiliko chanya baada ya wachezaji wapya kuelewa kwa kina falsafa na mahitaji yake...












