WACHEZAJI WATATU AZAM WATENGWA
WAKATI bingwa wa kihistoria wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC ikijiandaa kuikabili Yanga katika fainali ya michuano hiyo, kuna nyota watatu wametengwa kwa kupewa...
WAWILI YANGA WATUPWA NJE, MUDATHIR KIKOSINI
JANA usiku Yanga ilikuwa uwanjani kucheza mechi ya nusu fainali katika Kombe la Mapinduzi 2026 dhidi ya Singida Black Stars, huku taarifa njema zikiwa...
KAMWE ATUMA UJUMBE MZITO AZAM FC
OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe ametuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao Azam FC kuelekea fainali ya Kombe la Mapinduzi, akisisitiza kuwa atakuwepo kwenye...
SIMBA YAMVIZIA BEKI WA ASANTE KATOKO
KLABU ya Simba SC imeingia rasmi katika mazungumzo ya kumsajili beki wa kati wa Asante Kotoko ya Ghana, Samba O’Neil Ndongani, katika harakati za...
YANGA YATINGA FAINALI MAPINDUZI CUP
KLABU ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Singida...
NZENGELI PACHA WA PACOME NDANI YA JANGWANI
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Max Nzengeli, amemtaja mchezaji mwenzake Pacome Zouzoua kuwa ni mmoja wa wachezaji anaofanana naye zaidi uwanjani kutokana na uelewano mkubwa...
HERSI AFUNGA DILI, OKELLO ATUA JANGWANI
RAIS wa Klabu ya Yanga, Hersi Said, amefanikiwa kukamilisha dili la kumsajili kiungo mshambuliaji Allan Okello kutoka Vipers SC ya Uganda, baada ya pande...
MCHEZO UNAOKUPA BAHATI PEKEE MERIDIANBET MISSIONS
Meridianbet Missions inalenga kubadilisha namna wachezaji wanavyoiona michezo ya mtandaoni. Badala ya kutegemea bahati peke yake, mfumo huu unampa mchezaji ramani ya safari yenye malengo...
MAISHA NI MAZURI UKIBET NA MERIDIANBET LEO
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya...
NABY CAMARA AMEBEBA ZOTE
MCHEZAJI mwenye uwezo wa kucheza safu nzima ya ulinzi na kiungo, Naby Camara amefanya kitu cha kipekee kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026...












