DAU DOGO, PESA NYINGI NA MERIDIANBET

0
Ni siku nyingine ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe...

MTANZANIA APEWA MWAKA MMOJA NA NUSU

0
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Oscar Evalisto amejiunga na Port Fouad inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu akitokea Makadi...

TUMERUDI TENA UPYA KAZINI, AHMEDY

0
MENEJA Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amesema kikosi cha timu hiyo kimerejea rasmi katika uwanja wa mazoezi kuanza...

NIKO SEHEMU YA MAFANIKIO, OKELLO

0
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Allan Okello, ameonesha furaha na ari kubwa mara baada ya kujiunga na klabu hiyo kongwe, amesisitiza kuwa yuko tayari kuwa...

DEPU KUTUA YANGA LEO, DIRISHA DOGO

0
BAADA ya uongozi wa Yanga kumtambulisha rasmi kiungo Allan Okello, macho sasa yanaelekezwa kwa mshambuliaji wao mpya Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu kama Depu,...

AWESO AWA GUMZO KENYA

0
KIUNGO wa Kimataifa wa Tanzania, Awesu  Awesu, ametambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa klabu ya Police Kenya FC, hatua inayomfungulia ukurasa mpya katika safari...

ANZA SAFARI YA SAMSUNG 26 NA SUPER HELI

0
Cheza leo Super Heli, mchezo unaokuletea msisimko wa kila sekunde. Hapa, kila hatua unayopiga ni hatua moja karibu na zawadi kubwa. Meridianbet inakualika kujiunga na...

USHINDI UNAANZIA HAPA NYUMBANI

0
Nafasi ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau lako kuanzia...

JEURI NYINGINE YAREJEA YANGA

0
KIUNGO wa Yanga, Mudathir Yahaya, na mshambuliaji Clement Mzize, wameanza kuonekana tena uwanjani baada ya kupona majeraha yaliyokuwa yakiwasumbua kwa muda. Kurudi kwao kambini kumeongeza...

NAJJAR AIVURUGA YANGA VIBAYA

0
MENEJA Mkuu wa Singida Black Stars, Othmen Najjar, ameonekana kulivuruga benchi la ufundi la Yanga baada ya kuchukua uamuzi wa kumrejesha kiungo Marouf Tchakei...