ZAIDI YA BILIONI 1 KUWANIWA KWENYE MASHINDNAO YA MYSTERY MULTIPLIER DROP
Je unajua kuwa kwenye mashindano haya ya WAZDAN unaweza kujishindia mpaka Bilioni Moja na zaidi?. Kama hujajua basi ni hivi mashindano haya sasa yapo...
BAYERN MUNICH NA BENFICA KUITIKISA CHARLOTTE LEO…..ODDS ZA UHAKIKA ZIKO HUKU…
Leo usiku, ulimwengu wa soka utawaka moto kwenye Uwanja wa Bank of America huko Charlotte, Marekani, ambapo miamba ya soka ya Ulaya, Bayern Munich...
KUELEKA DABI YA 25…, HUYU MUKWALA HUYU….’SHOW’ YAKE YANGA WAJIPANGE LA SIVYO 🫣🫣…
NYOTA wa Simba SC, Steven Mukwala amefikisha jumla ya mabao 13 ndani ya ligi. Kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar Juni 22 alipachika bao...
PILATO MECHI YA DABI ‘ANAGUNDU’ NA SIMBA….CAF WALIMTOA GHAFLA MECHI NA STELLENBOSCH..
✍🏿.. ANAANDIKA NAZARETH UPETE
Niwapongeze mno @ligikuu kwa kuamua kuja na waamuzi kutoka nje ya Nchi hasa kwenye mchezo huu wenye maamuzi magumu na unaohitaji...
BASHIRI GG&3+ PSG VS SEATTLE SOUNDERS USHINDE MARA 2…..HII HAKUNA KUPOTEZA….
Je unajua kuwa ukibashiri leo mechi ya PSG vs Settlers Sounders kwa chaguo la GG&3+ inakulipa mara mbili zaidi?. Ni rahisi tuuh suka jamvi...
KUELEKEA MECHI NA YANGA….CAMARA MAPEMAAA KASHJIBEBA TUZO YAKE …DIARRA ‘AJIVUNJA’….
Nyota wa Simba, Moussa Camara ameibuka kipa bora wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kufikisha 'Clean Sheets' 19, ikiwa ni...
KUHUSU INONGA KUTUA YANGA…MABOSI WASHINDWE WAO TU….ISHU YAKE IMEKAA HIVI….
KATIKA maboresho ya kikosi cha Yanga kwa ajuili ya msimu ujao wa 2025-2026, Yanga imepanga kufanya usajili wa kuziba maeneo machache ikiwemo eneo la...
KUELEKEA DABI YA JUNI 25…..WALIOPOTEZA TIKETI ZA DABI YA MACHI 8 ‘KUNYWENI MAJI’….
KIONGOZI wa N-Card Catherine Chami amewapa uhakika mashabiki waliopoteza tiketi zao ambazo walizikata kwa ajili ya mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga...
UTAMU WA CHAN 2024 HUU HAPA…UFUNGUZI TZ ,KWA MKAPA….ZANZIBAR NDANI…..
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitangaza Tanzania kama nchi itakayoandaa mechi na tukio la ufunguzi wa fainali za CHAN 2024 zitakaofanyika kuanzia...
IBENGE NA AZAM FC…KAZI KUBWA IPO HAPA….JE SIMBA, YANGA ZITAENDELEA KUTAMBA….?
DONE Deal! Ndiyo, Azam FC kwa sasa inasubiriwa kutangaza tu juu ya kumnasa kocha mwenye heshima zake katika soka la Afrika, Florent Ibenge (63)...