MERIDIANBET KUKUPA NAFASI KUBWA YA USHINDI KUPITIA WIN&GO….
Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni wanashuhudia fursa mpya ya kipekee kutoka Meridianbet. Wote waliosajiliwa na wale ambao bado hawajasajili, sasa wana nafasi ya...
HUKO SIMBA VYUMA BADOOH…..MASHINE MPYA HII HAPA…IMECHEZA KOMBE LA DUNIA LA KLABU…
KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano, lakini kuna straika mmoja aliyesajiliwa hivi karibuni ametua jijini Dar...
VYA AZIZI KI VYAPATA MRITHI YANGA….MAYELE ATAJWA UPYAAAA….
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Pacome Zouzoua pamoja na straika mpya, Andy Boyeli wameachiwa msala katika kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026.
Pacome anayeitumikia Yanga kwa...
TANDIKA JAMVI LAKO MECHI ZA LEO NA MERIDIANBET….
Jumatano ya Maokoto imewadia timu kibao zipo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. ODDS za kibabe zipo Meridianbet sasa suka jamvi lako hapa kwenye mechi za...
CARABAO CUP NDIO USHINDI WAKO NA MERIDIANBET…
Je unajua kuwa ushindi wako siku ya leo upo Meridianbet kwenye mechi za Carabao Cup?. Mechi kibao kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku timu hizo...
RUBY PLAY KUJA NA USHINDI KABAMBE NDANI YA MERIDIANBET….
Kasino mtandaoni sasa ni kituo kikuu cha burudani kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, na Meridianbet imechukua hatua ya kusisimua kwa kuwaletea wachezaji wake...
MASHINE MBILI MPYA SIMBA HIZI HAPA….’MAJAMAA’ YANAPIGA KAZI HATARI…..
SIMBA inaendelea kujifua kambini jijini Cairo, Misri chini ya kocha Fadlu Davids, lakini kuna mashine mbili mpya zinasubiriwa huko ili kuungana na wenzao walitangulia...
BAADA YA KUMALIZANA NA CHAN….TSHABALALA APEWA SIKU 5 YANGA….FOLZ HACHEKI NA MTU …..
KAMBI ya Yanga imezidi kunoga kule Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam, lakini jana ilikuwa katika mapumziko flani mafupi na kazi itaendelea leo Jumatatu,...
YANGA ….CHANZO CHA SOWAH KUTOKUCHEZA DABI YA KWANZA MSIMU HUU…UKWELI HUU HAPA…
Mshambuliaji mpya wa Simba, Jonathan Sowah, ataikosa mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga itakayopigwa Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa,...
FADLU AIFUMUA SIMBA UPYAAA…..MASTAA SABA WAPYA SIO POA….KIBU , AHOUA MHHHH…..
MZIKI wa Simba unaosukwa huko Misri, umeibua jambo jipya kutokana na nyota saba kuonekana kufumua kikosi cha kwanza ambacho awali kilikuwa kinampa jeuri Kocha...