Uncategorized

YANGA WAIPIGIA HESABU CECAFA

admin June 7, 2019 9:30 am


Wakati Simba wakiyatosa mashindano hayo, uongozi wa Yanga umethibitisha kupokea barua ya mwaliko wa kushiriki michuano hiyo mikubwa kwa ngazi ya vilabu katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kutoka CECAFA.

Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Omar Kaya amesema bado wanatafakari na kufanya tathmini kuona ni faida gani watazipata kabla ya kutoa jibu la mwisho. .

Mabingwa watetezi wa michuano hiyo Azam FC ndiyo timu pekee kutoka Tanzania ambayo imekwishathibitisha kushiriki na imepanga kuanza mazoezi yake rasmi Juni 20 kabla ya kuondoka nchini Julai 4, 2019, kuelekea Kigali Rwanda.

NYOTA HAWA SABA WAPIGWA CHINI TIMU YA TAIFA YA TANZANIA WACCHEZAJI WA TAIFA STARS WATAOKWEA PIPA KUELEKEA MISRI HAWA HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply